Skip to main content

Rwanda yapinga mpango wa UN kutumia Ndege maalum za uchunguzi dhidi ya waasi wa DRC


Marais Joseph Kabila-Kulia, Paul Kagame na Yoweri Museveni-Katikati wakiwa Kampala Uganda
REUTERS/Presidential Press Unit/Handout
Na Victor Robert Wile
Rwanda haitaunga mkono mpango wa Umoja wa Mataifa kutumia Ndege maalum za uchunguzi zisizo na marubani dhidi ya Waasi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaondeleza vitendo vya uasi.
Nchi ya Rwanda haitaunga mkono matumizi ya ndege hizo mpaka pale utakapotolewa ufafanuzi juu ya maswali yao kuhusu namna ambavyo zoezi hilo litakavyotekelezwa.
Waziri wa Ulinzi wa Rwanda Louise Mushikiwabo ameeleza kuwa ametoa msimamo huo wa nchi yake huku kukiwa na maswali ya kwa nini Rwanda haiungi mkono hatua hiyo.
Umoja wa Mataifa hivi sasa una mpango wa kuliongezea nguvu jeshi lake la kulinda amani nchini Kongo ambako hivi sasa Waasi wa M23 wamedhibiti eneo la jimbo la kaskazini eneo lililo mpakani mwa Kongo na Rwanda.
Muungano wa Mashirika ya kiraia katika Jimbo la Kivu ya kaskazini unaeleza uamuzi wa Rwanda kutounga Mkono mpango wa Umoja wa Mataifa unatokana na uoga wa Rwanda kufichuliwa kile ambacho imekuwa ikikifanya nchini DRC.
Katika ripoti mbalimbali zilizotolewa na Umoja wa Mataifa, Rwanda chini ya Rais Paul Kagame imekuwa ikitajwa kuhusika na harakati za kuwasaidia waasi wa M23 kupambana namajeshi ya Serikali ya Joseph Kabila huku Uganda nayo ikigusiwa kuhusika.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.