Skip to main content

BUS LA CHAMPION LAMGONGA MTEMBEA KWA MIGUU NA KUSABABISHA KIFO

Police1 7c9a1
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA
HABARI TAREHE 15/01/2013
Mtu mmoja amefariki Dunia Mkoani Dodoma katika tukio la ajali ya gari kumgonga mtembea kwa miguu na kusababisha kifo.

Tukio hilo  limetokea tarehe 14/01/2013 majira ya saa 09:30 alasiri katika kijiji cha Kelema  Wilaya ya Chemba barabara ya DODOMA -KONDOA baada ya  gari lenye namba za usajili T. 769 BNP aina ya Scania  Bus mali ya  Kampuni ya Champion  likendeshwa na dereva aliyefahamika kwa jina la  George s/o Maiko Kwayu likitokea Dodoma kuelekea Kondoa kumgonga mtembea kwa miguu na  kumsababishia kifo chake papo hapo.
Marehemu ametambuliwa kuwa ni Mohamed s/o Hassan mwenye umri wa Miaka(110) Mrangi ambaye ni mkazi wa kijiji cha Kalamba kuu Kelema wilayani Chemba.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa Dereva kwa kutokuwa mwangalifu kwa watumiaji wengine wa barabara kwani  alikuwa katika mwendo wa kasi  katika eneo lenye makazi ya watu kinyume na sheria za usalama barabarani zinavyoelekeza.
Madereva wanatakiwa kujua na kuzingatia ni mwendo gani watumie katika maeneo tofauti wanayopita, kama Kifungu namba 51, kifungu kidogo cha 8 (a) cha  sheria ya Usalama barabarani ya Mwaka 1973 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 sura ya 168 ambayo inatamka bayana kwamba mtu yeyote anayetumia chombo cha moto barabarani haruhusiwi kuendesha chombo hicho zaidi ya spidi 50  kwenye makazi ya watu.
Napenda kutoa wito kwa madereva wote kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za usalama Barabarani ili kuepusha ajali zisizo za lazima, ambazo hulipunguzia taifa nguvu kazi.
Mtuhumiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi na atafikishwa mahakamani pindi uchunguzi utakapokamilika.
DAVID MISIME - ACP
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.