Skip to main content

BUS LA CHAMPION LAMGONGA MTEMBEA KWA MIGUU NA KUSABABISHA KIFO

Police1 7c9a1
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA
HABARI TAREHE 15/01/2013
Mtu mmoja amefariki Dunia Mkoani Dodoma katika tukio la ajali ya gari kumgonga mtembea kwa miguu na kusababisha kifo.

Tukio hilo  limetokea tarehe 14/01/2013 majira ya saa 09:30 alasiri katika kijiji cha Kelema  Wilaya ya Chemba barabara ya DODOMA -KONDOA baada ya  gari lenye namba za usajili T. 769 BNP aina ya Scania  Bus mali ya  Kampuni ya Champion  likendeshwa na dereva aliyefahamika kwa jina la  George s/o Maiko Kwayu likitokea Dodoma kuelekea Kondoa kumgonga mtembea kwa miguu na  kumsababishia kifo chake papo hapo.
Marehemu ametambuliwa kuwa ni Mohamed s/o Hassan mwenye umri wa Miaka(110) Mrangi ambaye ni mkazi wa kijiji cha Kalamba kuu Kelema wilayani Chemba.
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa Dereva kwa kutokuwa mwangalifu kwa watumiaji wengine wa barabara kwani  alikuwa katika mwendo wa kasi  katika eneo lenye makazi ya watu kinyume na sheria za usalama barabarani zinavyoelekeza.
Madereva wanatakiwa kujua na kuzingatia ni mwendo gani watumie katika maeneo tofauti wanayopita, kama Kifungu namba 51, kifungu kidogo cha 8 (a) cha  sheria ya Usalama barabarani ya Mwaka 1973 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 sura ya 168 ambayo inatamka bayana kwamba mtu yeyote anayetumia chombo cha moto barabarani haruhusiwi kuendesha chombo hicho zaidi ya spidi 50  kwenye makazi ya watu.
Napenda kutoa wito kwa madereva wote kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za usalama Barabarani ili kuepusha ajali zisizo za lazima, ambazo hulipunguzia taifa nguvu kazi.
Mtuhumiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi na atafikishwa mahakamani pindi uchunguzi utakapokamilika.
DAVID MISIME - ACP
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...