Skip to main content

SALMA kikwete, ATEMBELEA AMREF NA POUR FOUNDATION

 

IMG_4658
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwanzilishi na Rais wa Foundation Pour  l¨ Enfrance Mama Anne Aymone Giscard d’ Estaing na Mke wa Rais Mstaafu wa Ufaransa Bwana Valery Giscard d’ Estaing, wakati Mama Salma alipotembelea makao makuu ya taasisi hiyo jijini Paris Ufaransa tarehe 22:1:2013: Mama Salma yupo nchini Ufaransa akifuatana na Rais Kikwete kwenye ziara ya kiserikali nchini humo:
IMG_4690
Rais wa AMREF France Bwana Nicolas Merindol akimkaribisha Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete kwenye makao makuu ya shirika hilo jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 22, 1, 2013 na baadaye viongozi hao walifanya mazungumzo juu ya ushirikiano zaidi wa taasisi hizo katika masuala ya afya na elimu:
 Na: Anna Nkinda – Paris
Ushirikiano wa pamoja baina ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na wadau wa maendeleo nchini umeiwezesha taasisi hiyo kuwasaidia na kuwainua wanawake kiuchumi ambao wameweza  kujishughulisha na kazi za ujasiriamali na
hivyo kujikwamua na hali ngumu ya maisha.
Pia Taasisi hiyo imeweza kutoa ufadhili wa masomo kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi jambo ambalo limewafanya watoto hao wapate elimu  sawa watoto wengine wenye wazazi  na kuimarisha afya za mama wajawazito na watoto
Hayo yamesemwa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati alipotembelea Taasisi inayoshughulika na masuala ya watoto (France Parrainages)  kiliyopo mjini Paris ambacho kinafanya kazi na Kituo cha Ufaransa cha  kuwaangalia watoto kwa kushirikiana na Taasisi ya Partage Tanzania inayohudumia watoto yatima katika mkoa wa Kagera.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa  WAMA alisema kuwa Taasisi hiyo imeweza  kujenga shule ya Sekondari ya WAMA – NAKAYAMA iliyopo Rufiji Mkoani Pwani ambayo ina wanafunzi  247 ambao ni watoto yatima  na matarajio ya baadaye ni kuwa na wanafunzi 780.
“Katika mkoa wa Lindi tumejenga mabweni ya wanafunzi wa sekondari wa kike,  tunagharamia  masomo ya Sekondari kwa  wanafunzi 250 na wanafunzi 16 wa elimu ya juu kutoka mikoa yote nchini”, alisema Mama Kikwete.
Aliendelea kusema kuwa Taasisi hiyo  imeweza kuwasaidia wanawake kiuchumi  na kuwafanya waweze kuongeza kipato cha familia zao, kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi vidogo vidogo ambavyo vinaweza kutengeneza bidhaa za kusindika za vyakula na kuziuza.
Kwa upande wake Charline Flauge’re ambaye ni msimamizi wa Programu za Kituo cha Ufaransa cha  kuwaangalia watoto upande wa Afrika alisema kuwa Taasisi ya Partage Tanzania ambayo inahudumiwa na kituo hicho inafanya kazi nchini katika mkoa wa Kagera ambayo ni moja ya nchi tatu muhimu  kutokana na idadi ya watoto wanaowahudumia kufikia 10000.
Alisema kuwa watoto hao yatima wanaishi vijijini na familia zao zinajishughulisha na kazi za ukulima mdogo wa kahawa na migomba wao wanatoa ufadhili ambao unawasaidia waweze kuishi na familia zao na kupata upendo wa ndugu bila ya kuishi katika vituo vya kulelea watoto yatima
Flauge’re alisema, “Tunashukuru kwa kuwahudumia watoto hawa ambao wameweza kukua wenyewe ndani ya familia zao za mama,  kaka au dada, ufadhili huu umeweza kumsaidia mzazi aliyebaki hai, bibi na babu zao kuwaangalia na hivyo  kukua katika afya njema  na mazingira yao waliyozaliwa
Alimalizia kwa kusema kuwa ufadhili huo hautoi fedha na vitu  peke yake bali pia unajenga mahusiano baina ya watoto na wafadhili wao ambao wanaishi nchini Ufaransa kwani watoto  wanawaandikia wafadhili barua na kuwasiliana nao na wakati mwingine wanakuja kuwasalimiana nchini Tanzania na hivyo kujifunza mila na desturi za pande zote mbili.
Taasisi  ya WAMA ilianzishwa  mwaka 2006 ikiwa na malengo ya kutoa ufadhili wa masomo kwa watoto wa kike ambao hawakupata nafasi ya kusoma, kuimarisha afya ya mama wajawazito na watoto, kuwainua wanawake kiuchumi na kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi.Source Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...