Skip to main content

POLOSI DAR YAWASHIKILIA ASKARI WATANO KWA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA UPOTEVU WA TSHS.150M.ZILIZOPORWA ENEO LA KARIAKOO




Jeshi la polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia askari polisi watano kwa tuhuma za upotevu wa fedha kiasi cha shilingi milioni 150 mara baada ya tukio la uporaji lililofanyika eneo la Kariakoo mnamo tarehe 14/12/2012.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam Suleiman Kova (pichani) amesema baada ya tukio hilo zilipatikana taarifa kuwa fedha hizo zilipotea baada ya mtuhumiwa Augustino Kayula na Frank John Mwangiba kukamatwa akiwa na bastola aina ya Browing lakini hakuwa na fedha zilizoporwa, na ambaye anasemekana ndiye aliyepora fedha hizo akiwa na wenzake.
Kamanda Kova amesema pamoja na kukamatwa kwa askari hao pia wamekamatwa majambazi wawili waliohusika na tukio hilo ambao ni ambao ni Deogratias Kimaro mkazi wa Kilakala na Kulwa Mwakabala Mkazi wa Kijiwesamli wilaya ya Ilala.
Watuhumiwa hao wote wanashikiliwa na upelelezi unaendelea ikiwa ni pamoja na gwaride la utambulisho.
Chanzo: dewjiblog.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...