Skip to main content

Waasi wa Seleka waonywa na Jeshi la FOMAC kutothubutu kuingia katika Jiji la Bangui


Na Nurdin Selemani Ramadhani
Kikosi cha Kikanda cha Kulinda Amani katika Eneo la Afrika ya Kati FOMAC kimetoa onyo kali kwa Waasi wa Seleka wenye mpango wa kuuteka Mji wa Bangui kutothubutu kufanya hivyo kwani watasambaratishwa vilivyo na Kikosi hicho imara.
Waasi wa Seleka wanaopigana kuchukua Mji wa Bangui nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameongwa kutothubutu kufanya hivyo na Kikosi cha FOMAC
Waasi wa Seleka wanaopigana kuchukua Mji wa Bangui nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameongwa kutothubutu kufanya hivyo na Kikosi cha FOMAC
Kamanda wa Kikosi cha FOMAC Jenerali Jean-Felix Akaga ndiye ametoa onyo hilo kwa Waasi wa Seleka na kuwataka kutokuwa na mawazo ya kuuchukua Mji wa Damara ambao unashikiliwa na Majeshi hayo wakisaidia Jeshi la serikali.
Jenerali Akaga amewaambia Waasi wa Seleka Kikosi chao chenye Wanajeshi kutoka mataifa kumi yanayounda Umoja wa Kikanda wa Eneo la Afrika ya Kati kimejipanga vyema kukabiliana na kitisho chcohote kutoka kwa Waasi wa Seleka.
Kamanda huyo amesema wameweka ulinzi imara katika Jiji la Bangui huku ulinzi wao ukiwa ni umbali wa kilometa 75 kabla ya kufika Mji huo na wataendelea kulisaidia jeshi la Rais Francois Bozize kwenye mapambano.
Onyo hilo linakuja kipindi ambacho matarajio ya Waasi wa Seleka kuuweka kwenye himaya yao Mji wa Bangui nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yakitoweka kufuatia nchi jirani kupeleka wanajeshi wake kuisaidia serikali ya Rais Francois Bozize aliyekataliwa msaada wa kijeshi kutoka kwa Ufaransa na Marekani.
Serikali ya Rais Bozize imeanza kupata ahueni baada ya Gabon, Congo Brazzaville na Cameroon kutuma wanajeshi mia moja ishirini kusaidiana na wengine mia nne wa Chad ili kukabiliana vilivyo na Waasi wa Seleka ambao wameendelea kuwa kitisho kwa usalama baada ya kuchukua Miji mingine kadhaa.
Wanajeshi hao wamekwenda Bangui chini ya Mwamvuli wa Kikosi cha Afrika cha Kulinda Amani FOMAC na watakuwa na jukumu la kuhakikisha wanaulinda Mji wa Damara ambao ni muhimu kwa sasa kabla ya Waasi wa Seleka kufika Bangui.

The smiles that show she's going to be OK: Hillary Clinton discharged from hospital with beaming Bill and Chelsea after blood clot brain scare

By DAILY MAIL REPORTER and LESLIE LARSON
Secretary of State Hillary Clinton has been discharged from New York-Presbyterian Hospital on Wednesday holding tightly to the hand of her smiling daughter Chelsea and flanked by her beaming husband Bill, three days after she was admitted for a blood clot in her head.
Wearing dark sunglasses and a warm coat to brave the New York winter chill, she walked down the steps of the hospital into a waiting van - creating a media frenzy since the 65-year-old has not been seen publicly since December 7.
Secretary Clinton has been hospitalized since Sunday when her doctors discovered a blood clot in her head, in a vein behind her right ear that helps carry blood away from the brain. She is being treated with blood thinners to help dissolve the clot and doctors say she will make a full recovery.
Finally leaving: Hillary Clinton was alone in the car with her security team when she finally left New York-Presbyterian Hospital after being formally discharged on Wednesday
Finally leaving: Hillary Clinton was alone in the car with her security team when she finally left New York-Presbyterian Hospital after being formally discharged on Wednesday
Rest: The Secretary of State is expected to make a full recovery and will rest at home while doing so
Rest: The Secretary of State is expected to make a full recovery and will rest at home while doing so
There was initially confusion when Clinton first appeared on Wednesday afternoon because it was unclear whether she was being discharged from the hospital or if she had only been transported to a nearby medical facility for tests.
Surrounded by her upbeat family, a team of security guardsand one doctor, she exited the hospital and was driven across the street to another facility but then returned to the hospital about a half hour later.
But by early evening, her spokesman confirmed that she had indeed been released from the hospital on West 168th Street in Manhattan.
'Secretary Clinton was discharged from the hospital this evening. Her medical team advised her that she is making good progress on all fronts, and they are confident she will make a full recovery,' Secretary Clinton's spokesman Philippe Reines said in a statement.
All smiles
All smiles: Bill and Chelsea Clinton both grin as they escort Hillary, 65, from the hospital, wearing dark sunglasses and a warm coat to brave the New York winter chill
Family
Family: Hillary Clinton holds her daughter's hand as she emerges from the hospital on Wednesday after three days
On the mend
On the mend: Hillary Clinton (left) leaves New York Presbyterian Hospital with husband, Bill (top right), and daughter, Chelsea (center) in New York. Her doctors expect she will make a full recovery
Support: Holding tightly to her daughter's hand, the secretary of state exited the hospital on Wednesday afternoon. Her spokesman confirmed she was discharged this evening
'She's eager to get back to the office, and we will keep you updated on her schedule as it becomes clearer in the coming days.
'Both she and her family would like to express their appreciation for the excellent care she received from the doctors, nurses and staff at New York Presbyterian Hospital Columbia University Medical Center.'
Her daughter Chelsea Clinton confirmed that the Secretary is heading home, presumably to recover in the family's house in the upscale New York suburb of Chappaqua. The Clintons bought the home, located only a 40-minute drive outside of Manhattan, in 1999 and have used it as their primary residence for much of the last decade. Read more: Dailymail.co.uk

Watu wasiojulikana wamevamia maduka na kumuua mlinzi na kuiba eneo la Kihonda.

Watu wasiojulikana wamemvamia maduka yaliyopo eneo la Kihonda cheers, barabara ya Morogoro Dodoma, na kumuua mlinzi wa Maduka hayo sambamba na kuiba kilo 18 za nyama ya nguruwe pamoja na kreti nne za bia.

Serikali ya Somalia yataka kudai mali zake zilizoko ugenini

Na Adnan Hussein, Mogadishu
Serikali ya Somalia inafanyia kazi mpango wa kurejesha mali zake zilizozuiliwa na serikali za kigeni na mashirika tangu kuanguka kwa serikali kuu mwaka 1991.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia Fowsiyo Yusuf Haji Aadan anapanga kutembelea nchi kadhaa za kigeni ili kurekodi na kuzipata tena mali za serikali zilizopotea tangu kuanguka kwa serikali kuu mwaka 1991. [Na Mohamed Abdiwahab/AFP]
Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia Fowsiyo Yusuf Haji Aadan alianza ziara yake kwa nchi kadhaa wiki hii ili kurekodi mali za Somalia zenye thamani ya kifedha katika mabenki ya nje, pamoja na mali zake za kibiashara, balozi, ndege na meli.
Ya kwanza katika ajenda yake ni safari kwenda Nchi za Falme za Kiarabu, Italia na Uingereza.
"Tutafanya mapitio ya ziada ya mali zote za Somalia duniani katika mabara yote na tutawasiliana na washauri wa kigeni wa fedha na sheria," Aadan aliiambia Sabahi tarehe 27 Disemba. "Serikali ya Somalia itaomba kurejeshewa fedha zilizoshikiliwa na mamlaka za Uswisi pamoja na meli na ndege zilizoko Ujerumani, Italia na Yemeni."
Mamlaka ya Ukaguzi wa Soko la Fedha la Uswisi bado halijaweka wazi upana wa akaunti wa serikali kuu ya zamani ya Somalia au biashara baina ya benki za Uswisi na viongozi maarufu wa Somalia ambao mali zao zilizuiliwa.
Huku kukiwa na machafuko kufuatia kuanguka kwa serikali kuu ya Somalia, baadhi ya serikali za kigeni zilizuwia akaunti rasmi za benki za Somalia ili kuepuka matumizi yasiyoidhinishwa. Hata hivyo, mali nyingi za kuoekana za serikali huko nje, ikiwa ni pamoja na ndege na majengo ya balozi za zamani, tangu wakati huo yamekuwa hayasimamiwi vizuri au haijulikani hesabu zao.
Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyovuja mwezi wa Julai, usimamizi mbaya wa mali za umma uliendelea wakati wa Serikali ya Mpito ya Shirikisho, ambapo asilimia 70 ya mapato yalipotea kwa ufisadi, wizi au upotevu. Nyingi ya pesa hizi zinashukiwa kuwa zimepelekwa nje.

Wednesday, January 2, 2013

Hali ya rais Hugo Chavez iko imara, asema makamu wa urais Venezuela

Makamu wa Rais wa Venezuela Nicolas Maduro Makamu wa rais nchini Venezuela Nicolas Maduro amesema rais wa nchi hiyo Hugo Chavez amepata fahamu na kutambua kinachoendelea baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na rais huyo kuugua saratani
Maduro ametupilia mbali wasiwasi uliokuwepo juu ya hali ya kiafya ya rais Chavez wakati huu ambapo anatarajiwa kuapishwa rasmi kama rais katika siku kadhaa zijazo.
Akizungumza na chombo kimoja cha habari hapo jana, Makamu huyo wa urais, Nicolas Maduro, amesema amemtembelea Hugo Chavez hospitalini nchini Cuba anakopokea matibabu, na kusalimiana kwa mkono huku Chavez akionekana mwenye nguvu kabisa. Chavez anatarajiwa kuapishwa tarehe 10 mwezi huu kama rais wa Venezuela kwa kipindi cha miaka sita ijayo.
Lakini kutokana na hali yake kiafya kutokuwa ya kuridhisha, mwelekeo wa kisiasa nchini humo umekuwa wa wasiwasi mkubwa. Makamu wa rais Maduro sasa ameunyoshea kidole cha lawama upande wa mrengo wa kulia na baadhi ya vyombo vya habari nchini Venezuela kwa kutilia chumvi habari juu ya afya ya Chavez.
Amesema rais anakabiliana na maradhi yake kwa hadhi kubwa na matumaini. Chavez anayeugua ugonjwa wa saratani alifanyiwa upasuaji wa nne Disemba 11 mjini Havanna. Hadi sasa bado haijabainika rais huyo wa Venezuela anaugua saratani ya aina gani tangu alipogundulika kuugua ugonjwa huo mwezi Juni mwaka wa 2011.

MALI PASSATION 2 PM

Kikwete: Tanzania came close to civil war in 2012

“Quite frankly, for the first time, our country was pushed towards a profound division of Tanzanians, and even civil war, for religious affiliation,” President Kikwete deplored in a New Year’s televised speech.
President Jakaya Kikwete
President Jakaya Kikwete
“Fortunately, it did not happen, and I pray to God to keep us away from this, for good,” Mr. Kikwete, who is a Muslim indicated, threatening grievous penalties against “any troublemaker,” without any discrimination.
In October 2012, Christian churches were ransacked in the nation’s economic capital, Dar-es-Salaam, by a group of Muslims.
According to police and city officials, these violent acts had broken out after rumors that a 12-year- old boy had urinated on the copy of the Koran of a Muslim comrade.
Then the police had to make a massive intervention in Dar-es-Salaam, as well as in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar to prevent similar demonstrations by the Muslim community.
The Tanzanian leader also seized the opportunity of the New Year to present the preliminary results of the general population and housing census that was carried out in August 2012.
According to him, the population of Tanzania has jumped from 34 million people in 2002, to over 44.929 million in 2012.
The continental side of the country represents a total of 43.6 million inhabitants alone, against a little bit over a million islanders on Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.