Skip to main content

Wabunge wapitisha sheria huku Rais Obama akiwahakikishia wananchi watatekeleza yote yaliyoafikiwa


Kizungumkuti juu ya kupita au la kwa sheria ya kuzui kupanda kwa kodi na mpango wa kubana matumizi ya fedha nchini Marekani kimepata ufumbuzi baada ya wabunge wengi kupiga kura ya kupitisha sheria hizo na kumaliza hali hiyo ya sintofahamu.
Rais wa Marekani Barack Obama akiwa na Makamu wa Rais Joe Biden punde baada ya Baraza la Seneti kupitisha sheria zilizonusuru bajeti ya nchi hiyo
Wabunge nchini Marekani wamekuwa kwenye mvutano mkali punde tu baada ya kumalizika kwa sherehe za Noeli na kuwalazimu kurejea haraka kuendelea na mchakato wa kupitishwa kwa sheria hizo ili kunusuru bajeti ya serikali.
Wasiwasi mkubwa ulikuwa umetanda kutokana na pande mbili zenye wabunge wengi Republican na Democrats kutunishiana misuli kutokana na kila upande kushikilia msimamo wake hatua ambayo imeliingiza taifa hilo kwenye hofu ya kutetereka kiuchumi.
Makamu wa Rais Joe Biden ndiye ambaye ameshiriki kwa kiasi kikubwa kuhakikisha ananusuru upitishwaji wa sheria hizo baada ya kukutana na Wabunge wa Republican ambao walikubali kuweka tofauti zao na Democrats kando na kuangalia maslahi ya Umma.
Congress imepitisha sheria hizo baada ya hapo awali Bunge la Seneti kuridhia hatua kama hiyo kwa kupiga kura za ndiyo 257 dhidi ya kura za hapana 167 na hivyo kuonesha mwelekeo mwema.
Licha ya kupitishwa kwa sheria hizo lakini kumekuwa na mfarakano wa kisiasa huku wabunge wa Chama Cha Republican wakitaka marekebisho kadhaa yafanyike ili sheria hizo ziwe na manufaa kwa wananchi.
Rais wa Marekani Barack Obama amekiri kufurahishwa na hatua ambayo imefanywa na wabunge wa nchi hizi na kuahidi atasaini sheria hiyo ambayo itaongeza kiwango cha ulipaji kodi kwa asilimia mbili kwa matajiri.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...