Skip to main content

Wachuuzi wachukiana na mamlaka, biashara katikati ya Nairobi


Na Bosire Boniface, Nairobi
Antony Macharia anaichukulia njia ya waenda kwa miguu katika mtaa wa Ronaldo Ngara wa Nairobi kama ofisi yake.
Wachuuzi wakiuza vyombo kandokando ya barabara ya Moi katika mtaa wa biashara katikati ya Nairobi. Wachuuzi aghalabu hutumia mitaa hiyo wakati wa jioni, wakisababisha msongamano wa magari barabarani. [Bosire Boniface/Sabahi]
Kinjia kilichonyooka kwa umbali wa kilometa moja kandokando ya mtaa katika Wilaya ya Biashara ya Katikati ya Nairobi (NCBD) imejazwa na wachuuzi wanaouza bidhaa mbalimbali kutoka saa 10.00 jioni wakati ofisi zinapofungwa hadi kuzidi saa 4.00 usiku.
Macharia amekuwa akiuza viatu mahali hapo kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu kusaidia familia yake ya watu wanne. Biashara hii imenipa fursa ya kununua sehemu ya ardhi na gari, pamoja na kusomesha watoto wangu na kusaidia wanafamilia wengine," aliiambia Sabahi.
Hata hivyo, Macharia na wachuuzi wengine hawaruhusiwi kisheria kuuza bidhaa zao hapo.
Mary Wekesa, mwenye umri wa miaka 34 na mama wa watoto watatu ambaye anauza njegere, alisema polisi wa jiji hutumia mbinu zisizopendeza kutekeleza kanuni ambazo zinazuia wamachinga mitaani kutokufanya biashara katika NCBD.
"Maofisa wa polisi na viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Nairobi walitupiga, walikamata biashara zetu, na kutukamata kila walipotukuta katika maeneo yaliyozuiliwa," aliiambia Sabahi.
Alisema Soko la Wachuuzi la Muthurwa, ambako wachuuzi wanaruhusiwa kufanya biashara zao, ni mbali na katikati ya mji, na wafanyakazi wengi wa mjini hawako tayari kufunga safari kwenda huko.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...