Skip to main content

Wachuuzi wachukiana na mamlaka, biashara katikati ya Nairobi


Na Bosire Boniface, Nairobi
Antony Macharia anaichukulia njia ya waenda kwa miguu katika mtaa wa Ronaldo Ngara wa Nairobi kama ofisi yake.
Wachuuzi wakiuza vyombo kandokando ya barabara ya Moi katika mtaa wa biashara katikati ya Nairobi. Wachuuzi aghalabu hutumia mitaa hiyo wakati wa jioni, wakisababisha msongamano wa magari barabarani. [Bosire Boniface/Sabahi]
Kinjia kilichonyooka kwa umbali wa kilometa moja kandokando ya mtaa katika Wilaya ya Biashara ya Katikati ya Nairobi (NCBD) imejazwa na wachuuzi wanaouza bidhaa mbalimbali kutoka saa 10.00 jioni wakati ofisi zinapofungwa hadi kuzidi saa 4.00 usiku.
Macharia amekuwa akiuza viatu mahali hapo kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitatu kusaidia familia yake ya watu wanne. Biashara hii imenipa fursa ya kununua sehemu ya ardhi na gari, pamoja na kusomesha watoto wangu na kusaidia wanafamilia wengine," aliiambia Sabahi.
Hata hivyo, Macharia na wachuuzi wengine hawaruhusiwi kisheria kuuza bidhaa zao hapo.
Mary Wekesa, mwenye umri wa miaka 34 na mama wa watoto watatu ambaye anauza njegere, alisema polisi wa jiji hutumia mbinu zisizopendeza kutekeleza kanuni ambazo zinazuia wamachinga mitaani kutokufanya biashara katika NCBD.
"Maofisa wa polisi na viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Nairobi walitupiga, walikamata biashara zetu, na kutukamata kila walipotukuta katika maeneo yaliyozuiliwa," aliiambia Sabahi.
Alisema Soko la Wachuuzi la Muthurwa, ambako wachuuzi wanaruhusiwa kufanya biashara zao, ni mbali na katikati ya mji, na wafanyakazi wengi wa mjini hawako tayari kufunga safari kwenda huko.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.