Skip to main content

Wasiotoa, wasiodai risiti kupigwa faini Arusha



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amewataka wakazi mkoani hapa kudai risiti baada ya kufanya manunuzi ili kuepuka mkono wa dola.

Akizungumza na Nipashe mwishoni mwa wiki, Gambo alisema, mtu atakayekamatwa na vitu bila kuwa na risiti atapigwa faini ya Sh. 75,000 hadi Sh. milioni 1.5.

Alisema faini hiyo itawahusu wafanyabiashara wanaouza bila kutoa risiti, wanunuzi na hata madereva wanaopakiza abiria wao na bidhaa bila risiti.

"Tunafanya hivi sababu serikali tunapoteza fedha nyingi kwa sababu ya wafanyabiashara hawatoi risiti na wanunuzi hawadai risiti," alisema.

Alisema kutoa risiti kunachangia kupandisha makusanyo ya mkoa na kwa mwaka 2016/2017, mkoa ulikadiria kukusanya Sh. bilioni 28, lakini hadi kufika katikati ya Desemba, walikusanya Sh. bilioni 27 hali inaonyesha lengo litapita hadi kufika mwaka wa fedha unaofuata.

"Hali hii inatokana na watu kutoelewa dhana ya kudai risiti na kutoa japo bado wafanyabiashara na wanunuzi wengi hawazingatii maelekezo hayo na kusababisha upotevu wa fedha za serikali.

“Ni vema kila mtu akaelewa ana jukumu la kusaidia makusanyo, serikali yake kwa ajili ya kuharakisha maendeleo,” alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.