Skip to main content

Wasiotoa, wasiodai risiti kupigwa faini Arusha



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amewataka wakazi mkoani hapa kudai risiti baada ya kufanya manunuzi ili kuepuka mkono wa dola.

Akizungumza na Nipashe mwishoni mwa wiki, Gambo alisema, mtu atakayekamatwa na vitu bila kuwa na risiti atapigwa faini ya Sh. 75,000 hadi Sh. milioni 1.5.

Alisema faini hiyo itawahusu wafanyabiashara wanaouza bila kutoa risiti, wanunuzi na hata madereva wanaopakiza abiria wao na bidhaa bila risiti.

"Tunafanya hivi sababu serikali tunapoteza fedha nyingi kwa sababu ya wafanyabiashara hawatoi risiti na wanunuzi hawadai risiti," alisema.

Alisema kutoa risiti kunachangia kupandisha makusanyo ya mkoa na kwa mwaka 2016/2017, mkoa ulikadiria kukusanya Sh. bilioni 28, lakini hadi kufika katikati ya Desemba, walikusanya Sh. bilioni 27 hali inaonyesha lengo litapita hadi kufika mwaka wa fedha unaofuata.

"Hali hii inatokana na watu kutoelewa dhana ya kudai risiti na kutoa japo bado wafanyabiashara na wanunuzi wengi hawazingatii maelekezo hayo na kusababisha upotevu wa fedha za serikali.

“Ni vema kila mtu akaelewa ana jukumu la kusaidia makusanyo, serikali yake kwa ajili ya kuharakisha maendeleo,” alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...