Skip to main content

Maboresho ya Magari hayo 11 yameisaidia Serikali kuokoa kiasi cha Zaidi ya Shillingi Billion moja


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda leo amefanya Ziara ya kukagua Maendeleo ya Ukarabati wa Mabasi 11 ya Vyombo vya ulinzi na Usalama ikiwemo Jeshi la Polisi, Magereza na Jeshi la Wananchi ambapo hadi Mwishoni mwa mwezi huu baadhi yatakuwa yamekamilika na kukabidhiwa.
Magari hayo ni yale yaliyopelekwa Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani yakiwa Chakavu (Screpa) na sasa yapo katika hatua ya mwisho kukamilika yakifungwa vifaa vya kisasa ikiwemo AC, Chaji ya Simu, TV, Viti,  Bodi mpya, Taa, Side mirrors, Tairi, Vioo huku baadhi zikiwekewa Vyoo vya Ndani. 

RC Makonda ameeleza kuridhika na kasi ya ujenzi huo ambapo ameshukuru kiwanda cha Dar Coach Ltd kwa uzalendo wa kujitolea kukarabati Magari hayo.
Aidha RC Makonda amesema maboresho ya Magari hayo 11 yameisaidia Serikali kuokoa kiasi cha Zaidi ya Shillingi Billion moja ambazo serikali ingetumia lakini kampuni hiyo imejitolea kukarabati Magari hayo Bure. 
Nao Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama walioambatana na RC Makonda akiwemo Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dsm Lazaro Mambosasa, Mkuu wa Jeshi la Magereza DCP Agustin Mboje na Kaimu Mkuu mkuu wa Usafirishaji JWTZ Canal Benjamin Kisinda wamempongeza RC Makonda kwa ubunifu anaoufanya ambapo wamesema Magari hayo yatasaidia kuimarisha ulinzi na usalama pamoja na kuwafanya Askari kufanya kazi katika mazingira mazuri. 
Kwa upande wake Mkurugenzi wa kiwanda cha Dar Coach Ltd Bwana Manmeet Lal amemuhakikishia RC Makonda kuwa magari Matano Kati ya 11 yatakabidhiwa mwishoni mwa mwezi huu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...