Skip to main content

IGP Simon Sirro amtia saini ya makubaliano na mkuu wa jeshi la polisi la Msumbiji IGP Bernadino Rafael kwa lengo la kuhirikiana


 Mkuu wa jeshi la polisi nchi IGP Simon Sirro jana alitia  saini ya makubaliano na mkuu wa jeshi la polisi la Msumbiji IGP Bernadino Rafael  kwa  lengo la kuhirikiana  katika kubaini wahalifu ,kuzuia na kupambana na uharifu.

Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dar es salaam ambapo IGP Sirro amesema kuwa wamekubaliana kuzui na kupambana na wahalifu wanaofanya uharifu Tanzania na wanaofanya uharifu Msumbiji hasa uhalifu wa kigaidi,madawa ya kulevya na makosa mengine.

 IGP Sirro amebainisha kuwa wahalifu mbalimbali nchini ikiwamo wa kibiti baada ya kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria  na jeshi la polisi  wamekimbilia msumbiji na inadaiwa kuwa watu wanne tayari wamefariki dunia.

kwa upande wake Mkuu wa jeshi la polisi nchini  msumbiji IGP Bernadino Rafael  amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuishi kwa amani na uhuru na kubainisha kuwa  hakuna magaidi watakaopata nafasi katika nchi hizo mbili.

Hata ivyo wananchi wa nchi hizo mbili wametakiwa kuonyesha umoja na mshikamano kwa jeshi la polisi ikiwemo kutoa taarifa za wahalifu pindi watakapo wabaini  katika maeneo yao.









Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.