Skip to main content

Umoja wa Ulaya wakosoa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 2017 nchini Kenya





media
Viongozi wa waangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya kutoka Umoja wa Uaya
Waangalizi wa Umoja wa Ulaya, walioshuhudia Uchaguzi Mkuu nchini Kenya mwezi Agosti na Oktoba mwaka uliopita, katika ripoti yao ya mwisho wamesema, Uchaguzi huo ulitawaliwa na rushwa, matumizi ya rasilimali za umma hasa kwa viongozi wa chama tawala Jubilee.
Kiongozi wa waangalizi hao Marietje Schaake amesema wamelazimika kutoa ripoti hiyo wakiwa jijini Brussels nchini Ubelgiji, kwa sababu serikali jijini Nairobi imekataa kuwakaribisha na kukubali ripoti hiyo.
Aida, ripoti hiyo imeeleza kuwa, wanasiasa walitumia fedha kuwalipa wapiga kura kuhudhuria mikutano ya kisiasa lakini pia kuitisha Tume ya Uchaguzi, na hivyo kusababisha wapiga kura kutopata uhuru wa kufanya uamuzi.
Mapeama wiki hii balozi wa Marekani nchini Kenya Robert Godec aliutaka muungano wa upinzani NASA kuwa tayari kulegeza masharti ya madai yao na kuwa na mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta.
Kauli hii ilikuja baada ya kiongozi wa muungano wa upinzani (NASA), Raila Odinga kusem akuwa yuko tayari kuapishwa kama rais wa watu.
Kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, Raila Odinga yeye na kinara mwenzake Kalonzo Musyoka wataapishwa mwisho wa mwezi huu, kama rais na naibu raia wa watu.
Wafuasi wao wamekuwa wakisema wanasubiri siku hiyo, huku wafuasi wa rais Uhuru Kenyatta wakihofia kuwa hatua hiyo itayumbisha uchumi lakini pia kuzua mzozo mpya wa kisiasa.
Viongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya, NASA wametangaza kampeni ya kitaifa kuhamasisha wafuasi wao kujitokeza kwenye sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wao Raila Odinga na naibu wake Kalonzo Musyoka tarehe 30 ya Mwezi huu.
Vinara hao wawili wamesema sasa tarehe imeshaafikiwa na kwamba hawatashinikizwa na wafuasi wao kuapa na badala yake wataapishwa kwa kufuata maelekezo ya washauri wao.
Akihutubia kwenye mkutano wa baraza la wananchi mjini Kakamega, Raila Odinga alisema kula kwao kiapo hakuna uhusiano na wao kuwa na uchu wa madaraka lakini wanatimiza wajibu.
Tayari rais Uhuru Kenyatta ametangaza kutowavumulia wanasiasa ambao watajaribu kutatiza usalama wa nchi hiyo na kukiuka katiba ya nchi, akisisitiza kuwa tayari kwa mazungumzo yenye tija lakini sio ya kisiasa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...