Skip to main content

Humphrey Polepole Chama kitajipanga vizuri zaidi na kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa

Image result for Humphrey Polepole,
Katibu  wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole

Katibu  wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, amesema kama chama hicho kitajipanga vizuri zaidi na kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa, hakutakuwa na upinzani.

Polepole aliyasema hayo juzi, wakati akiwapokea viongozi kadhaa waliovihama vyama vyao na kujiunga na CCM wakitokea mikoa ya Dodoma, Siginda, Tabora na Kilimanjaro.

"Mimi nawaeleza kama wana CCM tutajipanga vizuri na kuachana na ubinafsi, heshima ya chama chetu mkoani Kilimanjaro itarejea kwa sababu tutakapotekeleza majukumu yetu inavyotakiwa, upinzani hautakuwapo," alisema.

Viongozi hao 37 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT-Wazalendo walijiunga na CCM na kupokewa na Polepole katika ofisi za chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro mjini hapa.

Kwa mujibu wa Polepole, chanzo cha kuhama kwa baadhi ya wanachama wa CCM mwaka 2015 na kwenda upinzani, kilikuwa ukiukwaji wa misingi ya haki na wajibu ndani ya chama hicho.

"Msingi ya kuanzishwa kwa CCM ni kusimamia haki na wajibu wa watu, hivyo kuhama kwa wanachama hao kulitokana na kukosekana kwa haki na CCM kukosa mvuto kwa watu. Lakini sasa tumetambua ni wapi tumekosea ndiyo maana CCM ya sasa imekuwa na mvuto,” alisema.

Aliongeza kuwa: "Kwasasa walioihama CCM wameanza kurejea Kutokana na chama sasa kurejesha imani, haki na wajibu kwa wanachama.”

Alisema CCM ya sasa imejenga imani kubwa kwa Watanzania kutokana na kufanyika kwa uboreshaji na utendaji kazi wa Mwenyekiti waTaifa CCM, Rais Dk. John Magufuli.

Polepole alisisitiza kwamba mageuzi makubwa yanayofanyika kwa sasa ndani ya chama hicho yamerudisha chama mikononi mwa wananchi na kuwataka wana CCM wasiwakatae wanachama wanaotoka upinzani.

Pia aliwataka viongozi wa chama mkoani Kilimanjaro kuhakikisha wanawasimamia watendaji wa serikali kwa karibu ili kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa mujibu wa sheria ikiwamo kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vya wanawake na vijana.mpekuzi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...