Skip to main content

Humphrey Polepole Chama kitajipanga vizuri zaidi na kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa

Image result for Humphrey Polepole,
Katibu  wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole

Katibu  wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, amesema kama chama hicho kitajipanga vizuri zaidi na kutekeleza majukumu yake kama inavyotakiwa, hakutakuwa na upinzani.

Polepole aliyasema hayo juzi, wakati akiwapokea viongozi kadhaa waliovihama vyama vyao na kujiunga na CCM wakitokea mikoa ya Dodoma, Siginda, Tabora na Kilimanjaro.

"Mimi nawaeleza kama wana CCM tutajipanga vizuri na kuachana na ubinafsi, heshima ya chama chetu mkoani Kilimanjaro itarejea kwa sababu tutakapotekeleza majukumu yetu inavyotakiwa, upinzani hautakuwapo," alisema.

Viongozi hao 37 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT-Wazalendo walijiunga na CCM na kupokewa na Polepole katika ofisi za chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro mjini hapa.

Kwa mujibu wa Polepole, chanzo cha kuhama kwa baadhi ya wanachama wa CCM mwaka 2015 na kwenda upinzani, kilikuwa ukiukwaji wa misingi ya haki na wajibu ndani ya chama hicho.

"Msingi ya kuanzishwa kwa CCM ni kusimamia haki na wajibu wa watu, hivyo kuhama kwa wanachama hao kulitokana na kukosekana kwa haki na CCM kukosa mvuto kwa watu. Lakini sasa tumetambua ni wapi tumekosea ndiyo maana CCM ya sasa imekuwa na mvuto,” alisema.

Aliongeza kuwa: "Kwasasa walioihama CCM wameanza kurejea Kutokana na chama sasa kurejesha imani, haki na wajibu kwa wanachama.”

Alisema CCM ya sasa imejenga imani kubwa kwa Watanzania kutokana na kufanyika kwa uboreshaji na utendaji kazi wa Mwenyekiti waTaifa CCM, Rais Dk. John Magufuli.

Polepole alisisitiza kwamba mageuzi makubwa yanayofanyika kwa sasa ndani ya chama hicho yamerudisha chama mikononi mwa wananchi na kuwataka wana CCM wasiwakatae wanachama wanaotoka upinzani.

Pia aliwataka viongozi wa chama mkoani Kilimanjaro kuhakikisha wanawasimamia watendaji wa serikali kwa karibu ili kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa mujibu wa sheria ikiwamo kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vya wanawake na vijana.mpekuzi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.