Skip to main content

Moto wazuka katika hospitali ya mji mdogo wa Miryang

media
Moto wazuka katika hospitali ya mji mdogo wa Miryang kusini-mashariki mwa nchi umesababisha maafa mengi.
Moto mkubwa uliozuka leo Ijumaa katika hospitali moja nchini Korea Kusini, umeua watu wasiopungua 41 kwa mujibu wa shirika la habari la Yonhap, maafa mabaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo kwa zaidi ya muongo mmoja.
Watu zaidi ya 80 wamejeruhiwa pia katika janga hili linalotokea wiki moja kabla ya kuwasli nchini humo maelfu ya wanariadha na wageni kwa mashindano ya Olimpiki ya Majira ya baridi.
Katika video zilizorushwa kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya wagonjwa waliokolewa na helikopta kwa kutumia kamba juu ya hospitali ya Miryang kusini-mashariki mwa Korea Kusini. Na wengine wamekua wakiokolewa kwa kupitishwa kwenye madirisha mbalimbali.
Moto umezuka katika hospitali ya Miryang, Kusini-Mashariki mwa Korea Kusini: wagonjwa waokolewa.Kim Dong-min/Yonhap via REUTERS
Jengo hilo la ghorofa sita lina sehemu wanakohudumia wazee pamoja na sehemu ya hospitali.
Idadi ya vifo imeenelea kupanda toka asubuhi wakati ambapo waliojeruhiwa wameendelea kupoteza maisha kutokana na kukosa hewa baada ya jengo hilo kuendelea kuteketea kwa moto. Mapema idadi ya waliopoteza maisha ilikua imefikia 41, kwa mujibu wa shirika la habari la Yonhap, ambalo limenukuu maafisa wa Zima Moto waliopo kwenye eneo la tukio.
"Wauguzi wawili wamesema kwamba waliona moto ghafla katika chumba cha huduma ya dharura," amesema Mkuu wa Zima Moto, Choi Man-Woo.
Chanzo cha moto huo hakijajulikana mpaka sasa.
Wagonjwa wote waliondolewa, ameongeza, huku akibaini kwamba waathirika wote walikuwa katika hospitali.
"Wengi wa waathirika walikuwa kwenye ghorofa ya kwanza na ya pili ya hospitali (...)." Baadhi wallifariki dunia wakati wakipelekwa hospitali nyingine.
Watu wapatao 200 walikuwa katika jengo hilo ambako kunapatikana hospitali ya Sejong wakati moto ulizuka, polisi wamesema.
Rais wa Korea Kusini Moon Jae-In alielezea masikitiko yake katika mkutano wa dharura na washauri wake, mkutano ambao ulikua na lengo la kuamua hatua ambayo inaweza kuchukuliwa,kwa mujibu wa msemaji wake.
Alitoa wito kwa wachunguzi kutoa haraka sababu za janga hilo ili "kuepuka hali ya sintofahamu kwa familia," amesema Park Soo-Hyun.
Tukio hili linatokea mwezi mmoja baada ya moto kuzuka kwenye klabu ya michezo ya kunyoosha misuli katika mji wa Jecheon, ambapo watu 29 walipoteza maisha.
Janga hili ni baya zaidi kuwahi kutokea nchini Korea Kusini kwa zaidi ya muongo mmoja. Mnamo mwaka 2003, moto ulizuka kwenye kituo cha treni za mwendo kasi katika mji wa Daegu, kusini-mashariki mwa Korea Kaskazini, tukio lililosababisha vifo vya watu 192 na karibu 150 walijeruhiwa.
Chanzo:RFI

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...