Skip to main content

Mourinho namawazo yake mazuri kwa Luke Shaw

Luke Shaw anaelekea kuwa mmoja kati ya mabeki bora kabisa wa Premier League baada ya 'kufufua' kiwango chake Manchester United. Hayo ni maneno ya Jose Mourinho.

Beki huyo wa kushoto wa England ameanza katika mechi tano za mwisho za Manchester United - hatua bora zaidi kwake tangu alipovunjika mguu katika mechi dhidi ya PSV Eindhoven  Septemba 2015.

Luke Show anatarajiwa pia kuanza katika mchezo wa Premier League Jumamosi hii dhidi ya Burnley licha Ashley Young kumaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu.

Mourinho hakumkubali Shaw msimu uliopita ambapo alimshutumu hadharani kwa kusema si mwajibikaji.

Hata msimu huu ulipoanza bado Shaw hakuwa chaguo la kwanza wala la pili kwa Mourinho huku kocha huyo akiwa anahusishwa na usajili wa beki wa kushoto wa Tottenham Danny Rose kwa pauni milioni 27.

Wakati dirisha la usajili la Januari lilipokaribia ndipo Mourinho alipompa nafasi Shaw na yeye bila ajizi akadhidhirisha ubora wake uwanjani hadi kumsuuza roho kocha huyo wa Manchester United.

Mourinho alipoulizwa kuhusu beki huyo mwenye umri wa miaka 22, akasema:"Kwa muda huu sioni mabeki wengi wazuri wanaomzidi Luke Shaw.

"Amekuwa akicheza vizuri mno. Amecheza vizuri na kuimarika tangu nilipoanza kumchezesha baada ya kukaa muda mrefu sana bila kuchezeshwa."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...