Skip to main content

Papa Farancis aanza ziara yake nchini Chile

Papa Francis akiwa ziarani nchini Chile,Amerika ya kusini.
Image captionPapa Francis akiwa ziarani nchini Chile,Amerika ya kusini.
Papa Farancis ameanza ziara yake nchini Chile huku kukiwa na wasiwasi wa kutokea shambulizi,kufuatia tishio lililotolewa kupitia vipeperushi vilivyo tolewa katika shambulio la awali kabla ya kuanza kwa ziara hiyo.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Dunian alipokelewa kwa shangwe na zaidi katika uwanja wa Santiago mji mkuu wa nchi hiyo,ambapo waumini wa kanisa Katoliki,viongozi mbali mbali wakiongozwa na rais wa Chile Michelle Bachelet walikuwepo pia.
Taifa la Chile lina zaidi ya asilimia 60 ya raia wake ni wakristo kati yao asilimia 45 ni wakatoliki,huku taifa hilo likiwa la pili katika bara la Amerika ya kusini kwa kuwa na idadi ya watu wasio na dini.
Hata hivyo ziara hii ya Papa nchini Chile imetanguliwa na matukio ya kushambuliwa kwa mabomu makanisa matatu mji mkuu wa taifa hilo Santiago huku washambuliaji wakiacha vipeperushi kwamba shambulio linalofuata ni dhidi ya Papa,kutokana na matukio hayo rais Bachelet amesema hayo ni matukio ya kushtusha.
Hii ni ziara yake ya kwanza nchini Chile tangu kuchaguliwa kwake,ziara hiyo ikikumbana na upinzani mkubwa kufuatia kashfa udhalilishaji wa kingono dhidi ya watoto unaodaiwa kufanywa na baadhi ya makaaisisi wa kanisa hilo nchini Chile.
Papa Francis leo anatarajiwa kukutana na waathirika wa ukatili wa kijeshi uliofanywa na dikteta Augusto Pinochet,ambapo pia zaidi ya nusu milion wanatarajiwa kuwa katika mkuasanyiko katika maeneo ambayo Papa atayatembelea katika ziara yake.Papa Francis amewasili nchini Chile ikiwa ni mwanzo wa ziara yake ya wiki moja nchini humo pamoja nan chi ya Peru.Sherehe za kumkaribisha Papa zimefanyika uwanja wa ndege wa Santiago

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.