Skip to main content

Dr Kigwangala Maadhimisho ya Urithi wa Mtanzania yaja





 Wajumbe wa kamati ya mwezi wa maadhimisho ya urithi wa mtanzania Wakiongozwa na waziri wa maliasili na utalii Dr Hamis Kigwangala.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam

Ili kuendeleza na kukuza sekta ya utalii wa ndani na nje ya nchi wizara ya maliasili na utalii imeunda kamati ya mwezi wa maadhimisho ya urithi wa mtanzania yenye lengo ya kuboresha sekta hiyo.

Akizungumza wakati wa mkutano wa wanakamati uliofanyika leo jijini Dar  es salaam waziri wa maliasili na utalii Dr Hamis Kigwangala amesema kuwa urithi wa taifa ni miongoni mwa vivutio vikubwa vya utalii Tanzania ambapo sekta ya utalii imechangia dola bilioni 2.1 na asilimia 25 ni fedha za kigeni.

Dk.Kigwangala amesema kuwa maadhimisho ya urithi wa mtanzania lengo lake kuwezesha jamii za watanzania kutimiza urithi wao ambao Tanzana imejaaliwa lakini pia kuzikumbusha jamii mila na tamaduni zao.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema katika mkoa wake kuna vivutio vingi na na kubainisha kuwa  asilimia 80 ya mapato ya utalii  nchini yanatoka  mkoa wa Arusha  

Kwa upande wake Kiongozi wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni Mwigizaji wa Filamu nchini Joketi Mwegelo amesema mchakato huo utasaidia kukuza na kuendeleza sekta ya Utalii nchini.

Ikumbukwe kuwa mkataa kwao mtumwa hivyo Watanzania ni vyema  kuzilinda maliasili za taifa na kuzienzi tamaduni  ili kuongeza pato la taifa na kukuza  sekta ya utalii nchini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.