Skip to main content

Michango shuleni yazua hisia tofauti Tanzania

Rais Magufuli
Rais Magufuli
Kufuatia msimamo wa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kupiga maruku michango yote katika shule nchini Tanzania wadau wa sekta ya elimu wamekuwa na maoni mbali mbali
Michango hii imekuwa ikisaidia shughuli mbali mbali za maendeleo katika shule ikiwemo kusaidia upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi sambamba na mahitaji mengine muhimu kwa shule hizo ikiwemo maji na ulizinzi
Meneja wa miradi ya haki elimu nchini Tanzania bwana Bonventure Geofrey amesema tamko hilo linashitusha kufuatia hali halisi ya shule nchini Tanzanaia kuwa zenye changamoto kubwa ikiwemo uchakavu na uhaba wa miundombinu kama vile madarasa , vyoo na maabara kwa shule za sekondari
Akizungumza baada ya tamko hilo waziri wa elimu sayansi teknolojia na mafunzo ya ufundi Joyce Ndalichako amewataka waalimu wote ambao tayari walikuwa wamekwisha kuchangisha fedha hizo kufanya utaratibu wa kurejesha kwa wazazi michango hiyo na kutoendelea tena na utaratibu huo ulipigwa marufuku
Serikali ya wamu ya tano nchini Tanzania ilitangaza kutoa elimu bure katika ngazi ya elimu msingi ambayo ni kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Rais wa Tanzania amesema kwamba walimu watakaopatikana wakiwalipisha fedha wazazi ili kulipia elimu ya wanao watafutwa kazi.
Serikali ilianzisha elimu ya bila malipo katika shule za majimbo yote nchini humo mwaka 2015 .
Lakini rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya shule zinaendelea kulipisha karo na malipo mengine ya chakula, ziara za masomo na huduma nyenginezo.
Wanafunzi wasiolipa fedha hizo hulazimika kurudi nyumbani .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...