Skip to main content

Mashabiki Simba Wampokea Chirwa kwa mbwembe Dar




Mashabiki wa mpira wakiwa wamekusanyika kwenye basi la Yanga baada ya kuwasili na boti jijini Dar es salaam kuota Zanziba
Mashabiki waliofurika kwenda kuipokea timu ya Yanga 
Kocha Msaidizi wa Yanga Shedrack Nsajigwa akizungumza na wanahabari


Wanajangwani baada ya kuondolewa na Timu ya URA  kwa Penati 5 kwa 4 kwenye michuano ya Ligi ya Mapinduzi hapo jana Timu ya Yanga ya Tanzania Bara  hatimaye leo imerejea jijini Dar es salaam huku hamasa kubwa ya mashabiki wakitaka kumuona mshambuliaji Obrey Chirwa ambaye alikosa penati ya Mwisho.


Kocha Msaidizi wa Yanga Shedrack Nsajigwa amezungumza na wanahabari wakati timu yake ilipowasili na boti kutoka visiwani Zanzibar leo  ambapo amesema michezo ilikuwa mizuri na wamejifunza mambo mengi kwenye michezo hiyo.

"Tumemaliza michuano ya Mapinduzi na hivi sasa nguvu yetu tunaihamishia kwenye Ligi kuu na kombe la FA hivyo tunawakata mashabiki zetu waendelee kutuunga mkono"amesema Nsajigwa

Nsajigwa amesema kikosi chao ni kikubwa na hivyo wameona viwango vywa wachezaji namna ambavyo wametoa michango yao kwenye michuano hiyo.

Kwa Upande wake mchezaji wa timu hiyo  Papy Tshishimbi amefurahi kuwa mmoja kati ya wachezaji walioshiriki kwenye michuano hiyo na hivyo wataendelea kufanya mizuri kwa michuano ya hapa nchini.

Nao Mashabiki mbalimbali ambao walikuwa wakiisubiria timu ya Yanga kutoka Zanzibar wamesema timu hiyo inapaswa kutizama makosa ambayo wameyafanya na hivyo kuyatendea kazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...