Skip to main content

Mashabiki Simba Wampokea Chirwa kwa mbwembe Dar




Mashabiki wa mpira wakiwa wamekusanyika kwenye basi la Yanga baada ya kuwasili na boti jijini Dar es salaam kuota Zanziba
Mashabiki waliofurika kwenda kuipokea timu ya Yanga 
Kocha Msaidizi wa Yanga Shedrack Nsajigwa akizungumza na wanahabari


Wanajangwani baada ya kuondolewa na Timu ya URA  kwa Penati 5 kwa 4 kwenye michuano ya Ligi ya Mapinduzi hapo jana Timu ya Yanga ya Tanzania Bara  hatimaye leo imerejea jijini Dar es salaam huku hamasa kubwa ya mashabiki wakitaka kumuona mshambuliaji Obrey Chirwa ambaye alikosa penati ya Mwisho.


Kocha Msaidizi wa Yanga Shedrack Nsajigwa amezungumza na wanahabari wakati timu yake ilipowasili na boti kutoka visiwani Zanzibar leo  ambapo amesema michezo ilikuwa mizuri na wamejifunza mambo mengi kwenye michezo hiyo.

"Tumemaliza michuano ya Mapinduzi na hivi sasa nguvu yetu tunaihamishia kwenye Ligi kuu na kombe la FA hivyo tunawakata mashabiki zetu waendelee kutuunga mkono"amesema Nsajigwa

Nsajigwa amesema kikosi chao ni kikubwa na hivyo wameona viwango vywa wachezaji namna ambavyo wametoa michango yao kwenye michuano hiyo.

Kwa Upande wake mchezaji wa timu hiyo  Papy Tshishimbi amefurahi kuwa mmoja kati ya wachezaji walioshiriki kwenye michuano hiyo na hivyo wataendelea kufanya mizuri kwa michuano ya hapa nchini.

Nao Mashabiki mbalimbali ambao walikuwa wakiisubiria timu ya Yanga kutoka Zanzibar wamesema timu hiyo inapaswa kutizama makosa ambayo wameyafanya na hivyo kuyatendea kazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...