Skip to main content

WAZIRI wa Afya , Ummy Mwalimu ameiagiza bohari Kuu ya dawa(MSD), kuweka nembo ya GoT dawa zote zinazoenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya






WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameiagiza bohari Kuu ya dawa(MSD), kuweka nembo ya GoT dawa zote zinazoenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya za serikali ili kuepusha uchepushwaji wa dawa hizo.



Waziri Ummy Mwalimu



Pia amesema Serikali itahakikisha inanunua  dawa za kuhifadhi maiti kutoka kwa wazalishaji kwa bei rahisi kwani kwa sasa ni ghali.




Waziri Ummy meyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kukagua ubora wa huduma za afya zinazotolewa kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ilala(Amana) jijini Dar es Salaam.




Amesema ameridhishwa na utoaji huduma huku changamoto ya upungufu wa watumishi ikiwa bado ipo na kwamba wagonjwa takribani 800 wanazuiwa  hospitalini hapo.






"Madaktari waendelee kuchapa kazi kwa kufuata miongozo kanuni za Wizara ya Afya...dawa tumeona zipo lakini hazina nembo ya serikali ili tuweze kusimamia vizuri upatikanaji wa dawa,"amesema.




Amesema MSD ihakikishe kuwa dawa yoyote inayonunuliwa kwa fedha za serikali lazima iwe na nembo ya Serikali(GOT) ili kuepusha uchepushwaji wa dawa kwenda maduka ya dawa binafsi.




Amefafanua kuwa hospitali hiyo ina asilimia 80 ya dawa muhimu na kwamba amejiridhisha uwepo wa dawa muhimu 135.




Amesema serikali itahakikisha wananunua dawa za kuhifadhi maiti kutoka kwa wazalishaji kwa bei rahisi ili kupunguza gharama kwa wananchi.




"Tutakuja kwa bei elekezi tukishazinunua kutoka kwa wazalishaji ili waweze kupubguza malalamiko ya wananchi,"amesema.




Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Meshack Shimwela amesema asilimia 60 ya wagonjwa wanaowahudumia hospitalini hapo hawana rufaa huku akitaka wagonjwa kufika kwa rufaa ili kuongeza ufanisi.




"Sasa ni wakati umefika wagonjwa waje kwa rufaa ili ufanisi uweze kuongezeka na daktari aweze kuona wagonjwa ambao kweli wanauhutaji wake, "amesema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...