Skip to main content

WAZIRI wa Afya , Ummy Mwalimu ameiagiza bohari Kuu ya dawa(MSD), kuweka nembo ya GoT dawa zote zinazoenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya






WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameiagiza bohari Kuu ya dawa(MSD), kuweka nembo ya GoT dawa zote zinazoenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya za serikali ili kuepusha uchepushwaji wa dawa hizo.



Waziri Ummy Mwalimu



Pia amesema Serikali itahakikisha inanunua  dawa za kuhifadhi maiti kutoka kwa wazalishaji kwa bei rahisi kwani kwa sasa ni ghali.




Waziri Ummy meyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kukagua ubora wa huduma za afya zinazotolewa kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ilala(Amana) jijini Dar es Salaam.




Amesema ameridhishwa na utoaji huduma huku changamoto ya upungufu wa watumishi ikiwa bado ipo na kwamba wagonjwa takribani 800 wanazuiwa  hospitalini hapo.






"Madaktari waendelee kuchapa kazi kwa kufuata miongozo kanuni za Wizara ya Afya...dawa tumeona zipo lakini hazina nembo ya serikali ili tuweze kusimamia vizuri upatikanaji wa dawa,"amesema.




Amesema MSD ihakikishe kuwa dawa yoyote inayonunuliwa kwa fedha za serikali lazima iwe na nembo ya Serikali(GOT) ili kuepusha uchepushwaji wa dawa kwenda maduka ya dawa binafsi.




Amefafanua kuwa hospitali hiyo ina asilimia 80 ya dawa muhimu na kwamba amejiridhisha uwepo wa dawa muhimu 135.




Amesema serikali itahakikisha wananunua dawa za kuhifadhi maiti kutoka kwa wazalishaji kwa bei rahisi ili kupunguza gharama kwa wananchi.




"Tutakuja kwa bei elekezi tukishazinunua kutoka kwa wazalishaji ili waweze kupubguza malalamiko ya wananchi,"amesema.




Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Meshack Shimwela amesema asilimia 60 ya wagonjwa wanaowahudumia hospitalini hapo hawana rufaa huku akitaka wagonjwa kufika kwa rufaa ili kuongeza ufanisi.




"Sasa ni wakati umefika wagonjwa waje kwa rufaa ili ufanisi uweze kuongezeka na daktari aweze kuona wagonjwa ambao kweli wanauhutaji wake, "amesema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.