Skip to main content

Ensol Energy with a smile yahamasisha uchangiaji damu salama Dar es Salaam



LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

Solar Lantern/Pico Lighting systems with remote

SYSTEMS









TAMASHA la uchangiaji damu Salama lililoanza kufanyika jijini Dar es 
Salaam juzi katika Wilaya ya Ubungo na jana kuendelea katika Wilaya
nyingine ya Ilala katika stedi kuu ya mabasi ya mwendo kasi Jijini
Dar es Salaam imeelezwa limefanyika kwa mafanikio.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana jijini hapa mratibu wa 
tamasha hilo Bw.Prosper Magali kutoka kampuni ya Ensol Energy with a
smile ya jijini Dar es Salaam  iliyojitokeza kudhamini  shughuli hiyo 
ambapo alisema kuwa lengo kubwa la kufanya tamasha hilo linafanyika 
hili  kuchochea msukumo wa hiari wa watu kujari maisha ya watu  kujitokeza 
kuchangia damu.

Alisema kuanzia mwanzo wa siku ya kwanza jumla ya chupa za damu
91 zilipatikana kwa watu waliojitokeza na hadi kufikia jana mchana
kulikuwa na jumla ya chupa 50 zilizopatikana ambapo zoezi hilo lili
kuwa bado likiendele.

"Tunaomba wananchi wajitokeze kuwa katika hali ya kuchangia damu
kwani kwa kufanya hivyo tunaokoa maisha ya watu sehemu mbali mbali
nchini wanaokuwa na maitaji ya kuongezewa damu,"alisema Prosper.

Prosper alisema  kampuni yake imekuwa ikidhamini  mpango huo baada ya
kuona hupo umuhimu wa kufanya hivyo kwa kuokoa maisha zaidi ya wanadamu
wanaokuwa wakiitaji damu.



Naye Fatuma Mtunga  ambaye ni Afisa uhamasishaji toka mpango wa damu salama
alisema kuwa katika zoezi hilo walilenga hasa kufikisha takribani chupa 
za damu takribani 450,000 kutoka kwa watu watakao jitokeza kuchangia.


Kampuni wadhamini wa tamasha hilo Ensol Energy with a smile waliojitolea kujihusisha 
na mpango huo wa kudhamini ilikuhamasisha watu kuchangia dama kampuni yao
hiyo inajuhusisha na mambo ya uuzaji wa sola ambapo maduka yao yanapatikana
Ubungo Plaza .





LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.