Skip to main content

Ensol Energy with a smile yahamasisha uchangiaji damu salama Dar es Salaam



LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

Solar Lantern/Pico Lighting systems with remote

SYSTEMS









TAMASHA la uchangiaji damu Salama lililoanza kufanyika jijini Dar es 
Salaam juzi katika Wilaya ya Ubungo na jana kuendelea katika Wilaya
nyingine ya Ilala katika stedi kuu ya mabasi ya mwendo kasi Jijini
Dar es Salaam imeelezwa limefanyika kwa mafanikio.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana jijini hapa mratibu wa 
tamasha hilo Bw.Prosper Magali kutoka kampuni ya Ensol Energy with a
smile ya jijini Dar es Salaam  iliyojitokeza kudhamini  shughuli hiyo 
ambapo alisema kuwa lengo kubwa la kufanya tamasha hilo linafanyika 
hili  kuchochea msukumo wa hiari wa watu kujari maisha ya watu  kujitokeza 
kuchangia damu.

Alisema kuanzia mwanzo wa siku ya kwanza jumla ya chupa za damu
91 zilipatikana kwa watu waliojitokeza na hadi kufikia jana mchana
kulikuwa na jumla ya chupa 50 zilizopatikana ambapo zoezi hilo lili
kuwa bado likiendele.

"Tunaomba wananchi wajitokeze kuwa katika hali ya kuchangia damu
kwani kwa kufanya hivyo tunaokoa maisha ya watu sehemu mbali mbali
nchini wanaokuwa na maitaji ya kuongezewa damu,"alisema Prosper.

Prosper alisema  kampuni yake imekuwa ikidhamini  mpango huo baada ya
kuona hupo umuhimu wa kufanya hivyo kwa kuokoa maisha zaidi ya wanadamu
wanaokuwa wakiitaji damu.



Naye Fatuma Mtunga  ambaye ni Afisa uhamasishaji toka mpango wa damu salama
alisema kuwa katika zoezi hilo walilenga hasa kufikisha takribani chupa 
za damu takribani 450,000 kutoka kwa watu watakao jitokeza kuchangia.


Kampuni wadhamini wa tamasha hilo Ensol Energy with a smile waliojitolea kujihusisha 
na mpango huo wa kudhamini ilikuhamasisha watu kuchangia dama kampuni yao
hiyo inajuhusisha na mambo ya uuzaji wa sola ambapo maduka yao yanapatikana
Ubungo Plaza .





LATERN / PICO LIGHTING SYSTEMS

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...