Skip to main content

Jan international yaanza kutoa magari kwa washindi wa bahati nasibu


Jan international  katika  kuboresha  hali ya ajira nchini  ambapo hivi karibuni  inatarajia kuajiri wafanya kazi  wapatao 500 kutokana na upanuzi wa ofisi za 
kamuni hiyo katika mikoa mbali mbali nchini .





Hayo yamesemwa na meneja wa kamuni hiyo Mohamed Shaibu Omary mwishoni mwa wiki  iliyopita
ambapo mshindi wa bahati nasibu ya nunua gari ushinde  gari   Harob Seif  Hemed aliibuka kuwa mshindi
wa bahati nasibu hiyo iliyoshindanishwa kati ya desemba  na Januari 

Mohamed alisema wakati wa hafla ya makabidhiano ya  gari hiyo mshindi huyo ameshinda  baada ya kununua gari nyingi katika  yard ya Namanga jijini Dar es Salaam.

"Kampuni yetu imejikita  katika kuboresha  maisha ya watu  kwa kutoa magari  bora na ya kisasa  kuzingatia kuwa kuna ushindani mkubwa wa uuzaji  magari  toka nchini Japani,"alisema Mohamed.



Hata hivyo alisema pamoja na wingi huo  bado wataendelea kuuza gari bora  na za kisasa  na kupanua huduma  hizo katika mikoa  mingine  kamuni hiyo ya kimataifa  inaofisi  Vingunguti na Namanga  jijini  Dar
es Salaam  kwa  kampuni  hiyo inawaajiri wa kudumu 60 ,pamoja na hayo imedhamilia kutoa  huduma  bora
 kwa wateja wake na kuwa wamepatia  mshindi  wa zawadi ya gari  aina ya Aaron  yaenye  thamani ya Sh.13 Milioni.

Naye Harob Seif  yeye alisema  kuwa  amenunua magari  mengi sana ndiyo maana  amepata hiyo
zawadi  na kuwa amestahili. 


Kamuni hyo imeanzishwa huko Japan miaka ya 2000 na hapa nchini Tanzania  mwaka 2014, nakuwa inaendelea na kuendesha Bahati nasibu  hiyo katika  yard zake  za Vingunguti  Bara Bara ya Nyerere na
Bara Bara ya Halhasani  Mwinyi Namanga.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.