Skip to main content

DUCE:Wanaojitolea kufundisha masomo ya sayansi mashuleni wapeleka ombi kwa Magufuli





Wanafunzi wa chuo cha DUCE wanaojitolea kufundisha masomo ya Sayansi ya hesabu katika shule za sekondari Na msingi zilizopo ndani ya wilaya ya Temeke wamemuomba Rais kuwawezesha kupata hela ya nauli ili waweze kufikia shule zote zilizopo ndani ya mkoa wa Dar es salaam.

Akiongea kwa niaba ya vijana wenzake, mwanzilishi na mratibu mkuu wa  zoezi hilo Mr. Emijidius Cornel amesema kuwa walianza wakiwa vijana 10 lakini mpaka Sasa wamefikia vijana 400.

Pia amesema kuwa mpaka Sasa wamefikia shule 10 ndani ya wilaya ya temeke na kuongeza kuwa lengo lao kubwa ni kufikia shule zote ndani ya mkoa wa Dar es salaam ili waweze kusaidia watoto hasa kwa upande wa masomo ya sayansi ambapo ufaulu unaonekana kusuasua.

"Tumefikia shule 10 ndani ya wilaya ya temeke mpaka sasa lakini lengo letu ni kufikia shule zote zilizopo ndani ya mkoa wa Dar es salaam" amesema Emijidius.

Aidha wamemuomba Rais Magufuli, Mkuu wa mkoa pamoja Na maafisa elimu kila wilaya kuonyesha ushiriano ikiwemo kuwawezesha nauli ili waweze kufanikisha kazi hiyo kiurahisi.

"Tunamuomba Rais wetu, mkuu wa mkoa, pamoja Na maafisa elimu wa wilaya kutuunga mkono sambamba Na kutuwezesha nauli ili tuweze kuzifikia shule zilizoko mbali Na Chuo chetu" amesema Emijidius.

Pamoja Na hayo Emijidius amewashauri vijana wenzake walioko kwenye vyuo mbalimbali kujitokeza kufanya shughuli mbalimbali zenye kuleta maendeleo ndani ya jamii Na kuachana Na mambo ambayo hayana faida yoyote ndani ya jamii.

"Nawashauri vijana kutoka vyuo mbalimbali wajitokeze kufanya shughuli mbalimbali zenye kuleta maendeleo ndani ya jamii Na kuachana Na mambo ya kipuuzi" amesema Emijidius.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...