Skip to main content

DUCE:Wanaojitolea kufundisha masomo ya sayansi mashuleni wapeleka ombi kwa Magufuli





Wanafunzi wa chuo cha DUCE wanaojitolea kufundisha masomo ya Sayansi ya hesabu katika shule za sekondari Na msingi zilizopo ndani ya wilaya ya Temeke wamemuomba Rais kuwawezesha kupata hela ya nauli ili waweze kufikia shule zote zilizopo ndani ya mkoa wa Dar es salaam.

Akiongea kwa niaba ya vijana wenzake, mwanzilishi na mratibu mkuu wa  zoezi hilo Mr. Emijidius Cornel amesema kuwa walianza wakiwa vijana 10 lakini mpaka Sasa wamefikia vijana 400.

Pia amesema kuwa mpaka Sasa wamefikia shule 10 ndani ya wilaya ya temeke na kuongeza kuwa lengo lao kubwa ni kufikia shule zote ndani ya mkoa wa Dar es salaam ili waweze kusaidia watoto hasa kwa upande wa masomo ya sayansi ambapo ufaulu unaonekana kusuasua.

"Tumefikia shule 10 ndani ya wilaya ya temeke mpaka sasa lakini lengo letu ni kufikia shule zote zilizopo ndani ya mkoa wa Dar es salaam" amesema Emijidius.

Aidha wamemuomba Rais Magufuli, Mkuu wa mkoa pamoja Na maafisa elimu kila wilaya kuonyesha ushiriano ikiwemo kuwawezesha nauli ili waweze kufanikisha kazi hiyo kiurahisi.

"Tunamuomba Rais wetu, mkuu wa mkoa, pamoja Na maafisa elimu wa wilaya kutuunga mkono sambamba Na kutuwezesha nauli ili tuweze kuzifikia shule zilizoko mbali Na Chuo chetu" amesema Emijidius.

Pamoja Na hayo Emijidius amewashauri vijana wenzake walioko kwenye vyuo mbalimbali kujitokeza kufanya shughuli mbalimbali zenye kuleta maendeleo ndani ya jamii Na kuachana Na mambo ambayo hayana faida yoyote ndani ya jamii.

"Nawashauri vijana kutoka vyuo mbalimbali wajitokeze kufanya shughuli mbalimbali zenye kuleta maendeleo ndani ya jamii Na kuachana Na mambo ya kipuuzi" amesema Emijidius.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.