Skip to main content

Mudau wa mashindano ya misuli asifia shindano la Mwaka jana



MUDAU wa mchezo wa kutunisha misuli Mohamed Ali , ambaye pia ni mmiliki wa
Gym ya mazoezi ya Gymkhana Dar es Salaam amesifia pambano la utunishani wa
misuli liliofanyika ukumbi wa Mayfair jijini Dar es Salaam kati kati ya mwezi Desemba
mwaka jana .

Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili Ali alimpongeza mshindi huyo
aliyeibuka na kitita cha Shilingi Milioni 10 na kusema ni moja ya mafanikio
ya kuutangaza mchezo huo kwa siku za hivi sasa.




























Washindi wa mwaka jana wa Mashindano ya kutunisha misuli (The Most Musicular Man Tanzania 2014) wa kwanza kutoka kushoto ni msindi wa pili, Omary Lyombe, mshindi wa kwanza Mohamed Nouma (katikati) na mshindi wa tatu, Erick Majura wakionyesha utunishaji misuli wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Gymkana jijini Dar es Salaam wakati huo

Alisema mchezo huo umekuwa ukifanyika nchini kuanzia miaka ya 1990
na kuwa safari katika maisha ya mchezo huo umeonekana ukifanyika katika
hali ya taratibu hivyo onesho hilo limeweza kuonesha hamasa mpya kwa
jamii inayoendelea kufanya mchezo huo.

"Wadau wa mchezo huo kuendelea kushiriki kuna leta hamasa na ushawishi mpya
kwa vijana wapya,kwa wadhamini waliojitokeza kufanikisha shindano hilo mwishoni
mwa mwaka jana wameonesha matumaini mapya katika hali ya upekee kabisa na kuwa
wanasitahili kupongezwa,"alisema Ali.

Ali alisema kuwa kwa zawadi zilizoandaliwa kwa washindi na maandali ya mchezo
huo kweli waandaaji walijitaidi kufanya jihudi nzuri zilizoonesha kuupamba
mchezo huo katika kujenga ushawishi zaidi kwani anaamini kuwa kwa msimu mpya
mwaka huu kutaongezeka mvuto zaidi katika suala la ushiriki wa mchezo huo.

mudau huyo mkubwa katika mchezo huo mwaka 2014 aliandaa shindano lake lililo
itwa ( The Most Musicular Man Tanzania 2014) na ndio  mwandaaji wa  shindano
lake hilo lililochangia kuleta taswira nyingine katika mchezo huo ambapo moja ya
wadhamini waliojitokeza wakati huo walikuwa ni Torque Tyres, chini ya Mkurugenzi
Mohamed Dewji.

Ambapo kwa mwaka jana Pili Pili Entertainment Company Ltd ya jijini Dar es Salaam
ndio waliokuwa waandaaji na kufanikisha kutoa zawadi kwa washindi ambapo licha ya
kutoa kitita cha Sh.10,000 kwa mshindi huyo pia mshindi aliweza kuondoka na gari.







 





 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.