Skip to main content

Mudau wa mashindano ya misuli asifia shindano la Mwaka jana



MUDAU wa mchezo wa kutunisha misuli Mohamed Ali , ambaye pia ni mmiliki wa
Gym ya mazoezi ya Gymkhana Dar es Salaam amesifia pambano la utunishani wa
misuli liliofanyika ukumbi wa Mayfair jijini Dar es Salaam kati kati ya mwezi Desemba
mwaka jana .

Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili Ali alimpongeza mshindi huyo
aliyeibuka na kitita cha Shilingi Milioni 10 na kusema ni moja ya mafanikio
ya kuutangaza mchezo huo kwa siku za hivi sasa.




























Washindi wa mwaka jana wa Mashindano ya kutunisha misuli (The Most Musicular Man Tanzania 2014) wa kwanza kutoka kushoto ni msindi wa pili, Omary Lyombe, mshindi wa kwanza Mohamed Nouma (katikati) na mshindi wa tatu, Erick Majura wakionyesha utunishaji misuli wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Gymkana jijini Dar es Salaam wakati huo

Alisema mchezo huo umekuwa ukifanyika nchini kuanzia miaka ya 1990
na kuwa safari katika maisha ya mchezo huo umeonekana ukifanyika katika
hali ya taratibu hivyo onesho hilo limeweza kuonesha hamasa mpya kwa
jamii inayoendelea kufanya mchezo huo.

"Wadau wa mchezo huo kuendelea kushiriki kuna leta hamasa na ushawishi mpya
kwa vijana wapya,kwa wadhamini waliojitokeza kufanikisha shindano hilo mwishoni
mwa mwaka jana wameonesha matumaini mapya katika hali ya upekee kabisa na kuwa
wanasitahili kupongezwa,"alisema Ali.

Ali alisema kuwa kwa zawadi zilizoandaliwa kwa washindi na maandali ya mchezo
huo kweli waandaaji walijitaidi kufanya jihudi nzuri zilizoonesha kuupamba
mchezo huo katika kujenga ushawishi zaidi kwani anaamini kuwa kwa msimu mpya
mwaka huu kutaongezeka mvuto zaidi katika suala la ushiriki wa mchezo huo.

mudau huyo mkubwa katika mchezo huo mwaka 2014 aliandaa shindano lake lililo
itwa ( The Most Musicular Man Tanzania 2014) na ndio  mwandaaji wa  shindano
lake hilo lililochangia kuleta taswira nyingine katika mchezo huo ambapo moja ya
wadhamini waliojitokeza wakati huo walikuwa ni Torque Tyres, chini ya Mkurugenzi
Mohamed Dewji.

Ambapo kwa mwaka jana Pili Pili Entertainment Company Ltd ya jijini Dar es Salaam
ndio waliokuwa waandaaji na kufanikisha kutoa zawadi kwa washindi ambapo licha ya
kutoa kitita cha Sh.10,000 kwa mshindi huyo pia mshindi aliweza kuondoka na gari.







 





 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...