Skip to main content

DR. Kigwangala asikiliza changamoto mbalimbali zinazo wakabili wachongaji wa vinyago

Image result for DR.HAMISI KIGWANGALLA
Waziri wa maliasili na utalii hapa nchini DR.Hamis Kigwangala(picha na mtandao)

  Dar es salaam
Waziri wa maliasili na utalii hapa nchini DR.Hamis Kigwangala leo amezungumza na  wafanyabiashara na wachongaji wa vinyago katika eneo la Mwenge jijini Dar es salaam, katika ziara yake hii leo,  ya kutembelea maeneo mbalimbali yenye mchango mkubwa kwenye utalii na kuliingizia taifa kipato.

Baada ya kuwasili katika  eneo hilo na kutembelea baadhi ya mabanda mbalimbali ya sanaa hiyo,  Dk.Kigwangala amesikiliza changamoto mbalimbali zinazo wakabili wachongaji wa vinyago.

Dk.Kigwangala amewataka wafanyabiashara hao kumaliza changamoto zao, ili serikali iweze kurahisisha mipango juu ya wachongaji na wafanyabiasahara wa eneo hilo.

Dk.Kigwangala aliendelea na ziara yake ambapo pia hii leo amewatembelea wasanii wa sanaa ya uchoraji manispaa ya kinondoni katika eneo la Morogoro store maarufu tingatinga,  na kusema kuwa seriakali kupitia utalii inataka kila mwananchi kuweza kufaidika na sekta utalii hapa nchini.

Kwa upande wao viongozi wa Morogoro store maarufu tingatinga wamepongeza hatua ya waziri wa maliasili na utalii kuithamini kazi yao kwa kuwatembelea na kuwajuza mipango ya serikali.

Awali Waziri Dk.Kigwangala ametembelea kituo utalii cha kumbukumbu ya hayati mwalimu nyerere kilichopo magomeni kota jijini hapa nakujionea changamoto mbalimbali zinazokikabili kituo hicho, ambacho kilikuwa nyumba ya mwalimu nyerere miaka ya nyuma na kuahidi kuzitatua changamoto hizo.

Kazi ya sanaa ni kama kazi nyingine hapa nchini watanzania tuwajali na kuwathamini wasanii wa uchongaji na uchoraji ili waweze kutimiza malengo yao, na kuondokana na dhana ya wataii ni watu kutoka nje ya nchi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.