Skip to main content

DR. Kigwangala asikiliza changamoto mbalimbali zinazo wakabili wachongaji wa vinyago

Image result for DR.HAMISI KIGWANGALLA
Waziri wa maliasili na utalii hapa nchini DR.Hamis Kigwangala(picha na mtandao)

  Dar es salaam
Waziri wa maliasili na utalii hapa nchini DR.Hamis Kigwangala leo amezungumza na  wafanyabiashara na wachongaji wa vinyago katika eneo la Mwenge jijini Dar es salaam, katika ziara yake hii leo,  ya kutembelea maeneo mbalimbali yenye mchango mkubwa kwenye utalii na kuliingizia taifa kipato.

Baada ya kuwasili katika  eneo hilo na kutembelea baadhi ya mabanda mbalimbali ya sanaa hiyo,  Dk.Kigwangala amesikiliza changamoto mbalimbali zinazo wakabili wachongaji wa vinyago.

Dk.Kigwangala amewataka wafanyabiashara hao kumaliza changamoto zao, ili serikali iweze kurahisisha mipango juu ya wachongaji na wafanyabiasahara wa eneo hilo.

Dk.Kigwangala aliendelea na ziara yake ambapo pia hii leo amewatembelea wasanii wa sanaa ya uchoraji manispaa ya kinondoni katika eneo la Morogoro store maarufu tingatinga,  na kusema kuwa seriakali kupitia utalii inataka kila mwananchi kuweza kufaidika na sekta utalii hapa nchini.

Kwa upande wao viongozi wa Morogoro store maarufu tingatinga wamepongeza hatua ya waziri wa maliasili na utalii kuithamini kazi yao kwa kuwatembelea na kuwajuza mipango ya serikali.

Awali Waziri Dk.Kigwangala ametembelea kituo utalii cha kumbukumbu ya hayati mwalimu nyerere kilichopo magomeni kota jijini hapa nakujionea changamoto mbalimbali zinazokikabili kituo hicho, ambacho kilikuwa nyumba ya mwalimu nyerere miaka ya nyuma na kuahidi kuzitatua changamoto hizo.

Kazi ya sanaa ni kama kazi nyingine hapa nchini watanzania tuwajali na kuwathamini wasanii wa uchongaji na uchoraji ili waweze kutimiza malengo yao, na kuondokana na dhana ya wataii ni watu kutoka nje ya nchi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...