Skip to main content

Jiji la Dar es Salaa limepanga kujenga viwanda vidogo vidogo kwa ajili ya wanawake,vijana na walemavu


Image result for Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam
 Dar es salaam


Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na kuwawezesha wawekezaji wakubwa wa viwanda kufikia malengo yao na kuwajengea mazingira bora ya uwekezaji imepanga kujenga viwanda vidogo vidogo kwa ajili ya wanawake,vijana na walemavu.

Hayo yamebainishwa leo na afisa maendeleo ya jamii mkuu wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam MARGARETH MAZWILE ambapo amesema Halmashauri ya jiji inaona kuna kila sababu ya kuendelea  kuwasaidia wanawake,vijana na walemavu wanaopata mikopo kutoka halmashauri ya jiji kuwa mazingira wanayofanya shughuli zao sio rafiki na wanahangaika sana kutafuta masoko.

MAZWILE amesema mipango ya Halmashauri ya jiji ni kuendelea  kujenga viwanda hivyo katika maeneo mbali mbali jiji ambayo itasaidia serikali katika juhudi zake za kufikia uchumi wa kati.

Aidha afisa huyo ametanabaisha kuwa katika bajeti ya mwaka huu wanatarajia kujenga viwanda kumi na mbili huku halmashauri ikitenga shilingi milioni mia sita kwa ajili ya viwanda vidogo vidogo na tayari halmashauri imesha jenga viwanda vya shilingi milioni mia mbili hamsini ambavyo ni viwanda sita vya mwanzo.

Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam inawasaidia wajasiriamali hao kujitangaza zaidi ili waweze kupata masoko ya bidhaa zao ndani na nje ya nchi vile vile wataweza kubadilishana ujuzi na wenzao wa maeneo mengine, kufundishana wenyewe kwa wenyewe, kusaidiana na kupeana maarifa ya kutengeneza na kuuza bidhaa zao pamoja na ziara za mafunzo kulingana na uhitaji.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.