Skip to main content

Chama cha mapinduzi kimemteua Dkt Damas Ndumbaro kupeperusha bendera ya chama Wakati kampeni za kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la Songea


Moses Machali akimnadi Dkt Damas Ndumbaro
Wakati kampeni za kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la Songea mjini mkoani Ruvuma zikiendelea katika kata mbalimbali za manisipaa ya Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya kumpata mbunge wa jimbo hilo ambaye chama cha mapinduzi kimemteua Dkt Damas Ndumbaro kupeperusha bendera ya chama hicho waliokuwa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani nchini wamezidi kujitokeza kwenye kampeni hizo na kutangaza kuachana na vyama vyao vya awali.
Miongoni mwa viongozi hao wa vyama vya upinzani ni pamoja na waliokuwa wajumbe watatu wa serikali ya mtaa wa Majengo mjini Songea kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo ambao walitangaza uamuzi huo wa kukihama chao hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi baada ya hotuba ya siku mbili mfululizo kwenye kampeni hizo za kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya chama cha mapinduzi iliyotolewa na aliyewahi kuwa mwanachama wa chama na kingozi pia cha Demokrasia na maendeleo Moses Machali.
Katika hotuba yake ya kumnhadi mgombea huyo Machali alieleza sifa alizo nazo mgombea Dkt Damas Ndumbaro ambazo alizifahamu muda mrefu tangu akiwa kwenye kambi ya upinzani ambazo alisema hazina mashaka yoyote ya kumfanya asichaguliwe kuwa mwakilishi wa wananchi wa jimbo hilo na kuwataka wananchi wa jimbo la Songea mjini kwa ujumla kuitokeza kwa wingi siku ya Januari 13 mwaka huu kumpigia kura mgombea huyo na kuacha kuendelea kusikiliza na kufuata propaganda za wagombea wa vyama vya upinzani ambao walio wengi hawajui kilichoko kwenye vyama hivyo vya upinzani kwa sababu yeye alikuwepo huko na anajua kulivyo.
Viongozi wengine wa kambi ya upinzani waliopanda jukwaani katika viwanja vya mikutano vya Majengo na kutangaza kujiunga na chama cha mapinduzi ni pamoja na aliyekuwa katibu wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Kigoma Sharon Msanya ambaye kabla ya kutangaza kujiunga na chama cha mapinduzi aliwataka wapiga kura wa jimbno la Songea mjini kutokuthubutu kulifanya jimbo hilo kuwa kambiya upinzani kwa sababu kufanya ni kurudisha nyuma jitihada za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo ambayo wameyahityaji kwa muda mrefu kurtoka serikalini na serikali ya awamu ya tano inaendelea kuonesha dhamira ya dhati kuwafikishia wananchi maendeleo hayo.
Alisema yeye amekuwa kiongozi mkubwa wa chama cha ACT Wazalendo katika ngazi ya mkoa lwa Kigoma akini amefikia uamuzi huo wa kusafiri kutoka mkoani Kigoma mpaka mjini Songea ili aweze kupata fursa ya kuwaeleza wananchi wa Songea umuhimu wa kukiunga mkono chama cha mapinduzi na mgombea wake Dkt Dams Ndumbaro kwa ajili ya maendeleo yao na taifa kwa ujumla kwa sababu mgombea huyo amekuwa mpigania maendeleo ya taifa kwa muda mrefu hata kabla hajafikia uamuzi huo wa kugombea nafasi hiyo ya kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake.
Huku naye Edna Sunga aliyekuwa katibu wa kamati ya maendeleo ya jamii taifa na mjumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu taifa wa chama cha ACT Wazalendo akizungumza baada ya kukihama chama hico na kujijnga na chama cha mapinduzi amesema kwa sababu yeye ni muumini wa kuzingatia miiko na vita dhidi ya rushwa na kuwaletea maendeleo wananchi ameona hana sababu ya kuendelea kuwa kwenye upinzani badala ya kuongeza na kujnganisha nguvu ya kuwajhudumia wananchi walio wengi.
Amesema kiongozi au mwananchi yeyote mwenye dhamira ya dhati ya maendeleo ambayo wananchi walio wengi wanayahitajihana budi kukiunga mkopno chama cha mapinduzi na mgombea wake ambaye amevaa taswira ya chama hicho na taifa kwa ujumla huku naye mgombea wa jimbo hilo kwenye uchaguzi huo akiendelea kuwaomba wananchi wa mji wa Songea kujiktokeza kwa wingi siku hiyo ya uchaguzi kwa ajili ya kupiga kura kwa chama cha mapinduzi.
Na Nathan Mtega, Jamvi la habari - Songea

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.