Skip to main content

Neymar Jr huwenda akatimkia Santiago




Aliyekuwa mchezaji wa Barcelona anayekipiga kwa matajiri wa Ufaransa klabu ya Paris Saint-Germain inayomilikiwa na mfanyabiashara kutoka Falme za kiarabu, Sheikh Nasser bin Ghanim Al-Khelaïfi, Neymar Jr huwenda akatimkia Santiago Bernabeu na kufanikiwa kuvunja rekodi aliyoiweka ya usajili wa paundi milioni 200 wakati alipotua katika timu hiyo.
Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez huwenda akamsajili mshambuliaji huyo wakimataifa wa Brazili baada ya kumzungumzia mwezi mmoja tu tangu Cristiano Ronaldo ajinyakulie taji lake la tano la Ballon d’Or.
Fowadi huyo wa PSG, Neymar tayari amefanya mazungumzo na wakala wake na kumuomba kutimiza dili hilo la kuhamia Real Madrid.
Ripoti zinasema kuwa kilakitu kinakwenda sawa ila Madrid italazimika kutoa dau la paundi milioni 357 ikiwa ni pamoja na ada ya uhamisho kama watahitaji kuishawishi PSG kumuachia.
Rais huyo wa Madrid, Florentino Perez amesema kuwa  “Kuwa ndani ya Madrid hukuwezesha kushinda taji la Ballon d’Or kirahisi. Madrid ni timu inayowawezesha wachezaji wakubwa kupata kilakitu wanachokihitaji, kila mtu anafahamu hilo nahitaji kumsajili,” Perez amesema wakati akizungumzia lengo la Neymar hasa kunyakuwa taji hilo.
Kwamujibu wa habari kutoka gazeti la Marca la nchini Hispania mchezaji huyo ghali zaidi dunia kwa sasa gharama yake ya kuhamia Madrid itakuwa paundi milioni 357 na hii inakuja baada ya kuchukua takribani miezi sita tu tangu Mbrazili huyo kutua PSG.
Kwamara ya kwanza Neymar aliwahi kufanya mazoezi na Madrid akiwa na umri wa miaka 14 wakati nyota wa timu hiyo kwa wakati huo akiwa Dani Carvajal.
Ingawa mchezaji huyo alifanya maamuzi ya kurejea kwao Brazili. Mwaka 2013, Real Madrid kwamara nyingine tena walimuita Neymar nakufanikiwa kufaulu vipo vya afya lakini aliamua kutimkia Barcelona. Sasa ni mara ya tatu Real Madrid wanajaribu bahati yao ya kumsajili.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.