Skip to main content

Neymar Jr huwenda akatimkia Santiago




Aliyekuwa mchezaji wa Barcelona anayekipiga kwa matajiri wa Ufaransa klabu ya Paris Saint-Germain inayomilikiwa na mfanyabiashara kutoka Falme za kiarabu, Sheikh Nasser bin Ghanim Al-Khelaïfi, Neymar Jr huwenda akatimkia Santiago Bernabeu na kufanikiwa kuvunja rekodi aliyoiweka ya usajili wa paundi milioni 200 wakati alipotua katika timu hiyo.
Rais wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez huwenda akamsajili mshambuliaji huyo wakimataifa wa Brazili baada ya kumzungumzia mwezi mmoja tu tangu Cristiano Ronaldo ajinyakulie taji lake la tano la Ballon d’Or.
Fowadi huyo wa PSG, Neymar tayari amefanya mazungumzo na wakala wake na kumuomba kutimiza dili hilo la kuhamia Real Madrid.
Ripoti zinasema kuwa kilakitu kinakwenda sawa ila Madrid italazimika kutoa dau la paundi milioni 357 ikiwa ni pamoja na ada ya uhamisho kama watahitaji kuishawishi PSG kumuachia.
Rais huyo wa Madrid, Florentino Perez amesema kuwa  “Kuwa ndani ya Madrid hukuwezesha kushinda taji la Ballon d’Or kirahisi. Madrid ni timu inayowawezesha wachezaji wakubwa kupata kilakitu wanachokihitaji, kila mtu anafahamu hilo nahitaji kumsajili,” Perez amesema wakati akizungumzia lengo la Neymar hasa kunyakuwa taji hilo.
Kwamujibu wa habari kutoka gazeti la Marca la nchini Hispania mchezaji huyo ghali zaidi dunia kwa sasa gharama yake ya kuhamia Madrid itakuwa paundi milioni 357 na hii inakuja baada ya kuchukua takribani miezi sita tu tangu Mbrazili huyo kutua PSG.
Kwamara ya kwanza Neymar aliwahi kufanya mazoezi na Madrid akiwa na umri wa miaka 14 wakati nyota wa timu hiyo kwa wakati huo akiwa Dani Carvajal.
Ingawa mchezaji huyo alifanya maamuzi ya kurejea kwao Brazili. Mwaka 2013, Real Madrid kwamara nyingine tena walimuita Neymar nakufanikiwa kufaulu vipo vya afya lakini aliamua kutimkia Barcelona. Sasa ni mara ya tatu Real Madrid wanajaribu bahati yao ya kumsajili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...