Skip to main content

Wanaosagana wafunga ndoa

Moja ya baadhi za picha walizopigwa wanandoa hao ambapo majina yao hayakutajwa kwa sababu zisizojulikana.

KINYUME na matarajio na utamaduni wa Afrika, ndoa za jinsia moja ambazo ni jambo linaloshutumiwa kwa kiwango kikubwa barani Afrika, zinaonekana kuwanyemelea watu wa bara hili. 

Pamoja na kupingwa karibu sehemu zote, tabia hiyo ambayo imeenea rasmi na au kwa kificho sehemu nyingi duniani, imeanza kuwa tishio la kuvuruga mifumo ya mila na tamaduni za asili za binadamu katika misingi ya kawaida ya kijamii, kidini na kimaumbile. 

Katika tukio la hivi karibuni nchini Uholanzi, wanawake wawili waliosemekana kuwa ni wananchi wa Ghana, walifunga ndoa kwa kivuli cha mume na mke.  Tukio hilo lilinaswa na vyombo mbalimbali vya habari vikiwaonyesha wanawake hao wakiwa katika mavazi ya harusi; mmoja akiwa amevaa mavazi ya kiume na mwingine mavazi ya kike.

Katika mazingira ambayo hayakufahamika, majina ya wanandoa hao, hayakutajwa licha ya sura zao kuonyeshwa waziwazi.

Picha nyingine, miongoni mwa nyingi zilizonaswa ni ile wanayobusiana kuonyesha penzi lao, wakiwa wamevaa nguo zenye asili na mapambo ya Ghana. 

Pamoja na tukio hilo kushutumiwa na baadhi ya watu wa Ghana, kuna uwezekano wa kuwepo au kuendelezwa kwa mjadala  kuhusu ndoa za jinsia moja nchini humo. 

Kwa mujibu wa Rais wa Ghana, Akufo Addo, akihojiwa na kituo cha Al Jazeera, nchi yake inaweza kuhalalisha ndoa za jinsia moja iwapo patakuwa na matakwa mengi ya kufanya hivyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.