Skip to main content

CCM yawapongezwa Wanaoikosoa

 





MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) bara, Philip Mangula amesema anawapenda wanaoikosoa CCM kwakuwa wamekuwa wakichangia kurekebisha mapungufu yao na kujiimarisha.

Philip Mangula kushoto akisalimiana na makada wa chama cha CCM

Mangula ameyasema hayo leo Chanika jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyofanyika ya kumpokea mwanachama mpya aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Chadema, Muslimu Hassanali.

Mangula amesema siasa za ukosoaji ni kutoa mawazo na wengine wakayarekebisha lakini upinzani wamekuwa wakosoaji kwa kubeza.

“Kukosoa ni silaha ya mapinduzi, kukiri kosa na kusahihisha ni jambo la msingi wenzetu wamekuwa ni vyama vya kukosoa CCM ninawapenda sana na kuwaunga mkono kwani wao wanakosoa kwa kubeza lakini inatusaidia kujirekebisha,”amesema Mangula.

Amesema CCM hukosoa kupitia vikao maalum ndani ya Chama kwa kuangalia katiba yao na kuirekebisha kwa mawazo mapya.


“ Mlilalamikia kwa nguvu kuhusu mafisadi, mikataba mibovu, rasilimali za nchi lakini chini ya JPM hayo yote yametekelezwa hamna cha kukosoa sasa,”amesema Mangula.

Amesema CCM inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na wana ahadi zao 189 ambazo wanazitekeleza kwa vipaumbele na umuhimu wake hivyo wapinzani wasiwapangie agenda ya kufanya.

Akimzungumzia Hassanali, Mangula amesema“ Ipo minong’ono pembeni inayosema sisi tumekuwa tukiwanunua wapinzani…fedha hizo hatuna kwani waumini wanapohama makanisa wanapewa fedha na nani zaidi ya kukubali kinachofanyika upande mwingine ?,”amehoji Mangula.

Kwa upande wake, Hassanali amesema, aliitumikia Chadema kwa miaka 15 na amejifunza mambo mengi akiwa ndani ya chama hicho.

“ Sijashawishiwa na mtu...zaidi ya mwaka mmoja nimetafakari maisha yangu ndani ya Chadema lakini nikaona niweke nafsi yangu nyuma nitangulize maslahi ya jamii mbele.

“Nimeamua kuacha kuwa mkosoaji wa CCM na badala yake niungane na rais kuleta maendeleo ya nchi…nitashiriki kuleta maendeleo na si kuichafua serikalim,”amesema Hassanali.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema wanachama wanaohamia CCM hupata vitisho na hata kufanyiwa fujo nakumuomba Mangula awasaidie. 

"Wanachama hao wamekuwa wakipokea vitisho, kuvunjwa mioyo na kutishiwa hivyo uhakikishe wanalindwa wasipate vitisho na kuonewa kwani tabia yao, "amesema. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...