Skip to main content

CCM yawapongezwa Wanaoikosoa

 





MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) bara, Philip Mangula amesema anawapenda wanaoikosoa CCM kwakuwa wamekuwa wakichangia kurekebisha mapungufu yao na kujiimarisha.

Philip Mangula kushoto akisalimiana na makada wa chama cha CCM

Mangula ameyasema hayo leo Chanika jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyofanyika ya kumpokea mwanachama mpya aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Chadema, Muslimu Hassanali.

Mangula amesema siasa za ukosoaji ni kutoa mawazo na wengine wakayarekebisha lakini upinzani wamekuwa wakosoaji kwa kubeza.

“Kukosoa ni silaha ya mapinduzi, kukiri kosa na kusahihisha ni jambo la msingi wenzetu wamekuwa ni vyama vya kukosoa CCM ninawapenda sana na kuwaunga mkono kwani wao wanakosoa kwa kubeza lakini inatusaidia kujirekebisha,”amesema Mangula.

Amesema CCM hukosoa kupitia vikao maalum ndani ya Chama kwa kuangalia katiba yao na kuirekebisha kwa mawazo mapya.


“ Mlilalamikia kwa nguvu kuhusu mafisadi, mikataba mibovu, rasilimali za nchi lakini chini ya JPM hayo yote yametekelezwa hamna cha kukosoa sasa,”amesema Mangula.

Amesema CCM inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na wana ahadi zao 189 ambazo wanazitekeleza kwa vipaumbele na umuhimu wake hivyo wapinzani wasiwapangie agenda ya kufanya.

Akimzungumzia Hassanali, Mangula amesema“ Ipo minong’ono pembeni inayosema sisi tumekuwa tukiwanunua wapinzani…fedha hizo hatuna kwani waumini wanapohama makanisa wanapewa fedha na nani zaidi ya kukubali kinachofanyika upande mwingine ?,”amehoji Mangula.

Kwa upande wake, Hassanali amesema, aliitumikia Chadema kwa miaka 15 na amejifunza mambo mengi akiwa ndani ya chama hicho.

“ Sijashawishiwa na mtu...zaidi ya mwaka mmoja nimetafakari maisha yangu ndani ya Chadema lakini nikaona niweke nafsi yangu nyuma nitangulize maslahi ya jamii mbele.

“Nimeamua kuacha kuwa mkosoaji wa CCM na badala yake niungane na rais kuleta maendeleo ya nchi…nitashiriki kuleta maendeleo na si kuichafua serikalim,”amesema Hassanali.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema wanachama wanaohamia CCM hupata vitisho na hata kufanyiwa fujo nakumuomba Mangula awasaidie. 

"Wanachama hao wamekuwa wakipokea vitisho, kuvunjwa mioyo na kutishiwa hivyo uhakikishe wanalindwa wasipate vitisho na kuonewa kwani tabia yao, "amesema. 

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...