Skip to main content

CCM yawapongezwa Wanaoikosoa

 





MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) bara, Philip Mangula amesema anawapenda wanaoikosoa CCM kwakuwa wamekuwa wakichangia kurekebisha mapungufu yao na kujiimarisha.

Philip Mangula kushoto akisalimiana na makada wa chama cha CCM

Mangula ameyasema hayo leo Chanika jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyofanyika ya kumpokea mwanachama mpya aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Chadema, Muslimu Hassanali.

Mangula amesema siasa za ukosoaji ni kutoa mawazo na wengine wakayarekebisha lakini upinzani wamekuwa wakosoaji kwa kubeza.

“Kukosoa ni silaha ya mapinduzi, kukiri kosa na kusahihisha ni jambo la msingi wenzetu wamekuwa ni vyama vya kukosoa CCM ninawapenda sana na kuwaunga mkono kwani wao wanakosoa kwa kubeza lakini inatusaidia kujirekebisha,”amesema Mangula.

Amesema CCM hukosoa kupitia vikao maalum ndani ya Chama kwa kuangalia katiba yao na kuirekebisha kwa mawazo mapya.


“ Mlilalamikia kwa nguvu kuhusu mafisadi, mikataba mibovu, rasilimali za nchi lakini chini ya JPM hayo yote yametekelezwa hamna cha kukosoa sasa,”amesema Mangula.

Amesema CCM inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na wana ahadi zao 189 ambazo wanazitekeleza kwa vipaumbele na umuhimu wake hivyo wapinzani wasiwapangie agenda ya kufanya.

Akimzungumzia Hassanali, Mangula amesema“ Ipo minong’ono pembeni inayosema sisi tumekuwa tukiwanunua wapinzani…fedha hizo hatuna kwani waumini wanapohama makanisa wanapewa fedha na nani zaidi ya kukubali kinachofanyika upande mwingine ?,”amehoji Mangula.

Kwa upande wake, Hassanali amesema, aliitumikia Chadema kwa miaka 15 na amejifunza mambo mengi akiwa ndani ya chama hicho.

“ Sijashawishiwa na mtu...zaidi ya mwaka mmoja nimetafakari maisha yangu ndani ya Chadema lakini nikaona niweke nafsi yangu nyuma nitangulize maslahi ya jamii mbele.

“Nimeamua kuacha kuwa mkosoaji wa CCM na badala yake niungane na rais kuleta maendeleo ya nchi…nitashiriki kuleta maendeleo na si kuichafua serikalim,”amesema Hassanali.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema wanachama wanaohamia CCM hupata vitisho na hata kufanyiwa fujo nakumuomba Mangula awasaidie. 

"Wanachama hao wamekuwa wakipokea vitisho, kuvunjwa mioyo na kutishiwa hivyo uhakikishe wanalindwa wasipate vitisho na kuonewa kwani tabia yao, "amesema. 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.