Skip to main content

Mshindi wa gali katika shindano la Misuli Majura aanza kujipanga kutimkia Nigeria


MSHINDI wa shindano la kutunisha misuli Erick Majura amsema mara baada ya kutwaa
ushindi katika ukumbi wa Mayfair jijini Dar es Salaam Desemba mwaka jana bado anaendelea
kujiweka fiti kuelekea shindano jingine litakalo fanyika nchini Nigeria.


Hali hiyo inakuja baada ya mwishoni mwa mwaka jana ambapo shirikisho  la Ujenzi wa
Mwili Tanzania (TBBF) kwa kushirikiana na Kampuni waandaaji wa shindano hilo Pilipili
intertainment kuandaa vema shindano hilo.

Majura alisema baada ya kuwa mshindi na kuweza kutwaa gali na kitita cha sh.Milion 10,000
kwa kuwagalagaza vibaya wenzake walioshiriki ,  taswira yake kwa sasa inawazia kuendelea
mbele zaidi ambapo anajiandaa kwenda kushiriki shindano kubwa la Afrika katika mchezo huo
wa misuli.


"Najua tutakwenda kuchuana na wenzangu wenye sifa kama mimi , tayari naendelea kujipanga
kwa kufanya mazoezi vema katika mazoezi yangu ya kila siku kwa mwenyezi Mungu ni mkubwa
na shukuru sana kwa kuwa mshindi kwa mwaka jana hatua inayoniwezesha kutinga katika shindano
la Afrika mwishoni mwa mwaka huu,"alisema Majura.


Wakati huo huo mmiliki wa Gym iliyomwandaa mpaka kufikia kutwaa ushindi kwa mshindi huo 
Mohamed Ali ,ambaye pia ni mmiliki waGym ya mazoezi ya Gymkhana Dar es Salaam amesifia 
mchezo huu,  na kusema kua shindano hilo  mwaka jana  liliofanyika katika ukumbi wa 
Mayfaijijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwakajana kuwa lilifanyika vema na kuwa limeongeza
hali ya ushawishi kwa wanamichezo.


Ali alimpongeza mshindi huyo aliyeibuka na kitita cha Shilingi Milioni 10 na kusema ni moja ya mafanikio
ya kuutangaza mchezo huo kwa siku za hivi sasa .


Alisema mchezo huo umekuwa ukifanyika nchini kuanzia miaka ya 1990
na kuwa safari katika maisha ya mchezo huo unaonekana kufikia malengo
mengine  hivyo onesho hilo limeweza kuonesha hamasa mpya kwa jamii .

"Napenda kuona Wadau katika  mchezo huu, kuendelea kushiriki vema kwani  hamasa 
mpya kama hii walionesha waandaaji kwa kuandaa shindano katika uwezo mkubwa, 
ni ushawishi mpya kwa vijana wapya,"alisema Ali.

Ali alisema zawadi zilizoandaliwa kwa washindi na maandali ya mchezo
huo kweli waandaaji walijitaidi kufanya maandalizi mazuri .

Mdau huyo mkubwa katika mchezo huo ambaye  mwaka 2014 aliandaa shindano lake lililo
itwa ( The Most Musicular Man Tanzania 2014) na kufanikiwa kuendela kuonesha taswira
ya watu kuendelea kuwa na hamasa juu ya kushiriki katika mchezo huo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.