KATIKA hali ambayo ni nadra kusikika, mabingwa wa soka nchini Yanga wamesema wanawaombea wapinzani wao Simba washinde katika mechi ya marudiano dhidi ya timu ya Kiyovu ya Rwanda, kwa vile wanaamini ushindi kwao ni sifa kwa Watanzania wote na siyo Simba peke yao. Simba inatarajia kurudiana na Kiyovu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kati ya Machi 2 au 3, huku Wekundu hao wa Msimbazi wakijivunia sare ya ugenini ya bao 1-1 Jumamosi iliyopita katika michuano ya Kombe la Shirikisho. Yanga wanaamini kuwa Simba wana nafasi ya kufanya vizuri kwenye mechi ya marudiano itakayofanyika jijini Dar es Salaam, wakati wao wakienda Misri kwa kurudiana na Zamalek baada ya sare ya 1-1 wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga ikitoa kauli hiyo, Jumamosi iliyopita ilishuhudia mashabiki wa Simba wakiwashangilia wapinzani wao Zamalek kwenye Uwanja wa Taifa jijini. Akizungumza jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Celestin Mwesigwa alisema klabu yao haioni sababu ya kutoiombea Simba mazuri pale linapokuja suala la kitaifa. "Maombi yetu ni timu zote za Tanzania zipite, hatuwezi kuiombea Simba itolewe kutokana na upinzani uliopo baina yetu na wao. Wao (Simba) na sisi tuko ndani ya Tanzania. Ni lazima tuombeane ili tuleta sifa Tanzania," alisema. Akiongelea kitendo cha mashabiki wa timu yake kununua jezi za Kiyovu kama walivyofanya wale wa Simba katika mechi yao dhidi ya Zamalek, Mwesigwa alisema wao kama viongozi wa Yanga hawawezi kuwazuia mashabiki kununua na kuvaa jezi hizo katika mechi ya marudiano ya Simba na Kiyovu. "Kila shabiki ana uhuru wa kiushangilia timu anayoipenda hivyo mwenye maamuzi ya kuvaa jezi ya Zambarau na Kijivu katika mechi ya Kiyovu na Simba ni shabiki mwenyewe sisi hatuwezi kumzuia," alisema. Kauli kama hiyo pia iliwahi kutolewa na Mwenyekiti wa Simba Aden Rage kufuatia mashabiki wa timu yake kununua jezi za Zamalek kwa lengo la kuwaunga mkono kwenye mechi dhidi ya Yanga. Alikaririwa akisema; "Simba haina uwezo wa kuwazuia mashabiki wake kushangilia timu nyingine wanayoipenda. Kwa maana hiyo, kama wataishangilia Zamalek, hilo siyo agizo letu ila uamuzi wao binafsi." Kuhusu maandalizi kwa ajili ya mechi ya marudiano, Mwesigwa wanajipanga vizuri ili kuhakikisha wanashinda mechi hiyo ya marudiano ugenini. "Tulijiandaa katika mechi zote mbili lakini bahati mbaya mechi ya kwanza tukiwa nyumbani timu yetu ilitoka sare ya 1-1. Tunajiandaa kurekebisha makosa yaliyotokea na mwalim ameshaanza kazi hiyo," alisema.Source Mwananchi. |
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments