Skip to main content

WATEJA 700 WA VODACOM MPESA WAJAZWA VITITA VYA FEDHA


  • Ni kupitia promosheni ya tuma fedha kwa MPESA na ushinde
  • 35 Milioni zaenda kwa wateja katika wiki ya kwanza
Wateja 700 wa Vodacom MPESA wamejishindia kiasi cha shilingi 35 Milioni katika wiki ya kwanza ya promosheni ya tuma fedha kwa MPESA na ushinde ilyozinduliwa wiki iliyopita ambapo jumla ya Shilingi 480 milioni kushindaniwa.
Washindi hao ambao kila mmoja amejishindia kiasi cha shilingi 50,000 katika droo za kila siku. Mbali na droo ya kila siku promosheni hiyo itachezesha droo moja kubwa kw akila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu zitakazotoa washindi wa Shilingi 10 Milioni kila mmoja.
“Hadi kufikia leo promosheni hii imeshatoa washindi mia saba, haya ni matokeo ya mwitikio mzuri wa wateja wetu kushiriki na hii inatupa faraja kwetumkwa kuwa lengo la Vodacom ni kuwafanya wateja wetu kuwa na furaha watumiapo huduma yetu ya MPESA na kuwawezesha.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Bw. Rene Meza
Kupitia droo hiyo washindi mia moja hujishindia shilingi 50,000 kila mmoja ambazo mshindi huingiziwa moja kwa moja katika akunti yake ya MPESA.
.
Mwamavita amesema huduma ya MPESA imekuwa sehemu muhimu katika maisha ya wananchi ambayo imerahisha na kubadili maisha yao tangu ilipoanzishwa Aprili, 2008, na hii inaenda sambamba na azma ya Vodacom ya kuthamini mchango wa wateja wake kuunga mkono huduma hiyo kwa kuwawezesha na pia kuifanya kuzidi kuwa huduma bora,salama,ya uhakika na rahisi..
“Ni msimu mwengine ambapo tunatoa nafasi kwa wateja wetu kufurahia huduma bora,rahisi,salama na ya kuaminika ya Vodacom MPESA kwa gharama nafuu zaidi sokoni kutoka kampuni inayoongoza soko la huduma za simu za mkononi nchini. Alisema Bw. Rene katika taarifa yake kwa vyombo vya habari..
“Matumizi ya huduma ya Vodacom MPESA yamekuwa yakiongezeka kwa kasi sana, na hii inatufanya wakati wote kuongeza kasi ya kuifanya huduma ya MPESA kuendelea kuwa huduma bora zaidi sokoni na yenye tija kwa wateja wetu inayotoa huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi. Kadri mteja anavyotuma pesa kwenda kwa mteja wa MPESA aliyesajiliwa au ambae hakusajiliwa ndivyo anavyojiweka katika nafasi ya juu ya kushinda zawadi katika promosheni hii”Aliongeza Bw. Rene
Huduma ya Vodacom MPESA ina mtandao wa mawakala zaidi ya elfu kumi na tano nchi nzima na wateja zaidi ya milioni nane kati yao zaidi ya milioni mbili wakifanya miamala – kutuma na kupokea fedha kwa kipindi cha mwezi mzima mfululizo.
Kupitia huduma ya MPESA mteja wa Vodacom aliyejisajili na huduma hiyo anaweza kufanya manunuzi ama kulipia huduma mbalimbali za ikiwemo umeme – LUKU, DAWASCO,DSTV,Muda wa maongezi, kuchangia michango ya harusi,kusaidia misiba, ada, n.k ndani ya nchi na hata kutokea nje ya nchi.
Mbali na promosheni hii wateja wa MPESA kwa sasa wanafurahia pia ofa mbalimbali ikiwemo ya punguzo la asilimia 75 katika gharama za kutuma fedha kwa MPESA mabapo sas amteja anatuma fedha kwa kiwango cha chini kabisa cha shilingi 50 kuanzia shilingi 500 hadi elfu kumi, nyongeza ya bonasi ya asilimia 25 mteja anaponunua muda wa maongezi wa hewani kupitia MPESA.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...