Skip to main content

TACAIDS YAWAPIGA MSASA WAANDAAJI WA VIPINDI VYA REDIO NA WATANGAZAJI MJINI KIBAHA



Hafidh Ameir mratibu wa TACAIDS mkoa wa Pwani akitoa mada katika semina ya kuwajengea uwezo waandaji wa vipindi vya Redio na Watangazaji kwa Kanda ya Mashariki inayofanyikwa kwa siku mbili kwenye hoteli ya Kibaha Confernce Center Maili moja Mjini Kibaha. Waratibu wa Ukimwi katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Lindi na Mtwara wapo kwa ajili ya kuwaelezea masuala mbalimbali washiriki wa semina hiyo, kuhusu maambukizi ya ukimwi na kupambana na janga zima la Ukimwi linalotishia jamii na nyanja mbalimbali za kiuchumi nchini Tanzania kutokana na kudhoofisha nguvu kazi ya Rasirilimali watu. Semina hiyo imeandaliwa na Taasisi ya kuzuia ukimwi TACAIDS ikishirikiana na kampuni ya Masoko Agencies (T) Limited ya jijini Dar es salaam na tayari imeshafanyika katika kanda Kaskazini Arusha, Kanda ya Ziwa Mwanza, Kanda ya Kati Dodoma, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mbeya na sasa ni Kanda ya Mashariki Mjini Kibaha
Afisa Uhusiano wa TACAIDS Grory Mzirai akitoa mada katika semina ya kuwajengea uwezo waandaji wa vipindi vya Redio na Watangazaji kwa Kanda ya Mashariki inayofanyikwa kwa siku mbili kwenye hoteli ya Kibaha Confernce Center Maili moja Mjini Kibaha.
Lugano Henry Meneja Mawasiliano na Mafunzo wa kampuni ya Masoko Agency akizungumza katika semina hiyo inayofanyika kwa siku mbili katika hoteli ya Kibaha Conference Center mjini Kibaha.
Bw. Simon Keraryo Afisa Uhamasishaji (TACAIDS) naye alizungumzi mambo kadhaa katika semina hiyo kama anavyoonekana katika picha.
Mmoja wa watoa Mada ambaye pia ni mtangazaji wa ITV Bw. Godwin Gondwe (kushoto) akiteta jambo na Meneja Mawasiliano na Mafunzo wa Kampuni ya Masoko Agencies (T) Limited Lugano Henry.
Regina Mwalekwa Mtangazaji kutoka Redio Clouds kulia kulia akiwa pamoja na Jacqueline Chengula mtangazaji mwenzake kutoka Clouds wakiandika mambo muhimu yaliyokuwa yakijitokeza wakati watoa mada wakiendelea na mada hizo katika semina ya waandaaji wa vipindi vya redio na watangazaji mjini Kibaha.
Kutoka kulia ni Hafidh Ameir mratibu wa TACAIDS mkoa wa Pwani, Joel Mnanga Mratibu wa TACAIDS Mtwara na Afisa Uhusiano wa TACAIDS Grory Mziray wakibadilishana mawazo katika semina hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...