Skip to main content

TACAIDS YAWAPIGA MSASA WAANDAAJI WA VIPINDI VYA REDIO NA WATANGAZAJI MJINI KIBAHA



Hafidh Ameir mratibu wa TACAIDS mkoa wa Pwani akitoa mada katika semina ya kuwajengea uwezo waandaji wa vipindi vya Redio na Watangazaji kwa Kanda ya Mashariki inayofanyikwa kwa siku mbili kwenye hoteli ya Kibaha Confernce Center Maili moja Mjini Kibaha. Waratibu wa Ukimwi katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Lindi na Mtwara wapo kwa ajili ya kuwaelezea masuala mbalimbali washiriki wa semina hiyo, kuhusu maambukizi ya ukimwi na kupambana na janga zima la Ukimwi linalotishia jamii na nyanja mbalimbali za kiuchumi nchini Tanzania kutokana na kudhoofisha nguvu kazi ya Rasirilimali watu. Semina hiyo imeandaliwa na Taasisi ya kuzuia ukimwi TACAIDS ikishirikiana na kampuni ya Masoko Agencies (T) Limited ya jijini Dar es salaam na tayari imeshafanyika katika kanda Kaskazini Arusha, Kanda ya Ziwa Mwanza, Kanda ya Kati Dodoma, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mbeya na sasa ni Kanda ya Mashariki Mjini Kibaha
Afisa Uhusiano wa TACAIDS Grory Mzirai akitoa mada katika semina ya kuwajengea uwezo waandaji wa vipindi vya Redio na Watangazaji kwa Kanda ya Mashariki inayofanyikwa kwa siku mbili kwenye hoteli ya Kibaha Confernce Center Maili moja Mjini Kibaha.
Lugano Henry Meneja Mawasiliano na Mafunzo wa kampuni ya Masoko Agency akizungumza katika semina hiyo inayofanyika kwa siku mbili katika hoteli ya Kibaha Conference Center mjini Kibaha.
Bw. Simon Keraryo Afisa Uhamasishaji (TACAIDS) naye alizungumzi mambo kadhaa katika semina hiyo kama anavyoonekana katika picha.
Mmoja wa watoa Mada ambaye pia ni mtangazaji wa ITV Bw. Godwin Gondwe (kushoto) akiteta jambo na Meneja Mawasiliano na Mafunzo wa Kampuni ya Masoko Agencies (T) Limited Lugano Henry.
Regina Mwalekwa Mtangazaji kutoka Redio Clouds kulia kulia akiwa pamoja na Jacqueline Chengula mtangazaji mwenzake kutoka Clouds wakiandika mambo muhimu yaliyokuwa yakijitokeza wakati watoa mada wakiendelea na mada hizo katika semina ya waandaaji wa vipindi vya redio na watangazaji mjini Kibaha.
Kutoka kulia ni Hafidh Ameir mratibu wa TACAIDS mkoa wa Pwani, Joel Mnanga Mratibu wa TACAIDS Mtwara na Afisa Uhusiano wa TACAIDS Grory Mziray wakibadilishana mawazo katika semina hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.