Skip to main content

Nitamsaidia Rias Kwa Uwezo wangu Wote- Sefue


 Mhe. Ombeni Sefue Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza na watanzania hawapo pichani wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na  Jumuiya ya Watanzania waishiio Jijini NewYork na Vitongoji vyake, kushoto kwake ni Mwenyekti wa Jumuia Bw. Hajji na kulia na Katibu, Bw. Shaban
 Mhe.  Balozi akiwa na  Mke wake Bibi Anita Sefue( aliyeshika zawadi) ambayo  Jumuiya ya Watanzania walimkabidhi  Balozi kama kumbukumbu ya kuwa Mlezi wa Jumuiya yao, wengine katika picha ni viongozi wa jumuiya hiyo.
Mhe. Balozi Ombeni Sefue, akiwa na Mke wake Bibi Anita Sefue katika picha ya pamoja na sehemu ya watanzania waliohudhuria hafla hiyo


Na Mwandishi Maalum

New York

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Mhe. Ombeni Sefue amesema,amejipanga vema kumsaidia Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Serikali kwa ujumla kupitia wadhifa wake mpya wa Ukatibu Mkuu Kiongozi “Ninatambua dhamana hii ni kubwa, nzito na yenye changamoto nyingi,lakini nimejipanga kutumia uwezo wangu , maarifa yangu na ujuzi wangu wote kumsaidia Mhe, Rais na zinazoambatana na dhamana hiyo”.
Balozi Ombeni Sefue, ameyasema hayo kumpongeza kwa wadhifa wake huo mpya, hafla Watanzania waishio jijini New York na vitongoji vyake. Katika hafla hiyo iliyofanyika siku ya alhamisi na kuhudhuriwa pia na Mke wa Balozi,Bibi. Anita Sefue, amejipanga vema katika jukumu lake hilo jipya. Amewashukuru kwa kutenga muda wao kuagana naye na vilevile kumpongeza na kwamba ameguswa sana na tukio hilo. Katika mazungumzo yake na watanzania hao, Balozi Sefue, amesisitiza umuhimu kwa wao, kuzidumisha na kuziendeleza sifa ambazo zimeifanya Tanzania kuwa moja ya kati nchi zinazoheshimika Barani Afrika.Akazitaja misingi ya dini, rangi, kabila au jinsia “Watanzania tunaheshimika sana, tunaheshimika kwa sababu tumeweza kuendeleza na kudumisha mambo makuu muhimu ambayo ni utamaduni wetu wa kupendana,kuheshimiana, kutobaguana kwa misingi ya dini, kabila, rangi au jinsia, wito wangu ninapoagana nanyi ni kwamba muyaendeleze haya hasa nyie akasema Balozi Sefue.

Balozi Sefue licha ya kuwahakikishia watanzania hao kwamba sifa hizo kuwa ni umoja, mshikamano, upendo na kutobaguana kwa Na kusisitiza kwamba, licha ya kuwa wao sasa wanaishi na kuendesha shughuli
zao nchini Marekani. Lakini nyumbani kwao kwa asili ni Tanzania, na kwa sababu hiyo wanaowajibu pia kuwafundisha mambo hayo watoto wao, ikiwa ni pamoja na kuwarithisha mila na tamaduni za mtanzania na historia nzuri wanakotoka.Akisisitiza umuhimu wa kusaidiana, Balozi Sefue amesema watanzania wataweza
kusaidiana pale tu watakapokuwa na Jumuiya inayowaunganisha.Na kwa sababu hiyo akawataka kuienzi na kuendelea kuiimarisha Jumuiya yao ambayo yeyé, licha ya kuwa mlezi wao lakini aliwasaidia sana yaliyopelekea kuanzishwa kwa Jumuiya ya Watanzania New York na vitongoji yake. Akasema ni kwa kupitia Jumuiya yao ambayo viongozi wake wamepatikana kwa uchaguzi wakidemokrasia. kwamba ndipo mahali ambapo wanaweza kubadilishana mawazo ya namna gani ya kusaidiana wao kwa wao lakini pia kuwasaidia ndugu na jamaa zao waliowaacha nyumbani (Tanzania) na Taifa kwa ujumla. “ Niwapongenze na kuwashukuru kwa kukubaliana nami pale nilipowapatia ushauri wa kuunda Jumuiya yenu, ninashukuru kwamba tangu kuasisiwa kwake mmekuwa mkiendelea vizuri.
Kwa upande wao na wakizungumza kwa niaba ya watanzania wenzao, Mwenyekiti wa Jumiya hiyo Bw. Hajji na Katibu wake Bw. Shaban Musemba, wamemhakikisha Balozi Sefue kwamba kama sehemu ya kuenzi mchango wake uliotukuka, watahakikisha Jumuiya yao haifi.Wakasema katika kipindi kifupi ambacho Balozi amekuwa Mlezi wa Jumuia hiyo, wamejifunza mengi kutoka kwake, na kwamba wanasikitika watakosa mchango wake wa mawazo, ushauri na mwongozo. Lakini wanamtakia kila la kheri katika nafasi yake hiyo mpya ya kumsaidia Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.Inatoka kwa mdau Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...