Skip to main content

Walioiba Samaki wa Magufuli wafungwa miaka 20 jela


Watuhumiwa wa kesi ya wizi wa samaki kinyume cha sheria eneo la Tanzania Hsui Chin Tai (kushoto) na  Zhao Hinguin wakitolewa Mahakama Kuu Tanzania Kitengo cha  Biashara,  Dar es Salaam leo, wakiwa chini ya ulinzi baada ya kutiwa hatiani na kufungwa jela miaka 20 au kulipa faini ya Sh.Bilioni 1 na Milioni. 20.  Wengine wameachiwa huru.Inatoka kwa mdau.

Comments