Watuhumiwa
wa kesi ya wizi wa samaki kinyume cha sheria eneo la Tanzania Hsui Chin
Tai (kushoto) na Zhao Hinguin wakitolewa Mahakama Kuu Tanzania Kitengo
cha Biashara, Dar es Salaam leo, wakiwa chini ya ulinzi baada ya
kutiwa hatiani na kufungwa jela miaka 20 au kulipa faini ya Sh.Bilioni
1 na Milioni. 20. Wengine wameachiwa huru.Inatoka kwa mdau.

Comments