Ofisa
Uhusiano wa Kampuni ya Tigo ,Bi, Alice Maro (kushoto) na Mratibu wa
Matukio wa Kampuni hiyo Bw.Edward Shik wakimkabidhi mshindi wa milioni
nne Bw.Benetson Gobelabo wakati wa kugawa zawadi kwa washindi wa
promosheni ya 'zamu yako kushinda.(picha na burudan blog)
Ofisa
Uhusiano wa Kampuni ya Tigo ,Bi, Alice Maro (kushoto) na Mratibu wa
Matukio wa Kampuni hiyo Bw.Edward Shik wakimkabidhi mshindi wa lap top
Bi.Theresia Kagoma wakati wa kugawa zawadi kwa washindi wa promosheni
ya 'zamu yako kushinda.Inatoka burudan blog.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments