Skip to main content

BUNGE LIKO MBALI NA WANANCHI-ZITTO KABWE



Inasikitisha kwamba Bunge laweza kukaa wiki nzima na kujadili masuala
mbalimbali bila kutoa muda kujadili suala la mtikisiko katika sekta
Afya.

Siku ya kwanza ya Bunge nilisimama kutaka taarifa ya serikali kuhusu
mgomo wa madaktari na taarifa hiyo ijadiliwe na Bunge. Spika
akalojulisha Bunge kwamba Serikali imempa taarifa na itawasilishwa.
Bunge lika...ahirishwa siku bila kurejea. Kamati ya Uongozi ya Bunge
ilipohitaji taarifa ya Serikali, Serikali haikuwa na taarifa. Kwa hiyo
walifanya ujanja ujanja kuzuia mjadala wa mgomo wa madaktari.

Leo wabunge kwa mara nyingine wamesimama kutaka mjadala huu wa
dharura. Naibu Spika wa Bunge akatumia sababu za kiufundi kuzuia
mjadala. Inawezekana wabunge hawakuwaandaa wabunge kusimama kuunga
mkono hoja, lakini ni jukumu la Kiti kuona umuhimu na udharura wa
mijadala.

Hii inadhihirisha kwamba sasa Bunge kama Mbunge mmoja mmoja au kwa
ujumla wake na Taasisi ya Bunge imekosa mguso na Hali ya wananchi (out
of touch). Hali hii ni hatari sana. Wananchi wanapoona chombo
kinachowawakilisha hakitoi nafasi kwa masuala yanayowagusa, watachukua
hatua zao wao wenyewe na hivyo kuhatarisha utulivu wa nchi. Bunge
liache shughuli nyingine zote na kutoa fursa ya kupokea taarifa ya
serikali kuhusu madai ya Madaktari, kuijadili na kuazimia kwa
kuelekeza hatua za kutekelezwa na serikali.

Na Zitto Kabwe

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.