Skip to main content

CAIRO, Misri Mastaa watangaza Kustaafu Kucheza Soka baada ya kushuhudia Mapigano

Aboutrika



CAIRO, Misri

WACHEZAJI nyota watatu wa kimataifa wa Misri, wametangaza kustaafu kucheza soka baada ya kushuhudia mapigano.
 
Viungo Mohamed Barakat, Mohamed Aboutrika na mshambuliaji, Emad Motaeb wa Al-Ahly wamekieleza kituo cha televisheni cha Misri kuhusu uamuzi wao huo mara baada ya vurugu hizo.

Comments