Skip to main content

UZINDUZI WA SKAUTI KUFANYIKA FEBRUARI 25 MWAKA HUU


Uzinduzi wa kumbu kumbu ya mwanzilishi wa skauti Ulimwenguni bw Robert Baden PowelL na mkewe Bi. Oliva Powell(lady baden powell)kimkoa umefanyika leo na kilele ni siku ya tar.25 ya mwenzi huu kwenye viwanja vya sheikh Amri Abeid jijini hapa kwa maonyesho na matamasha kote nchini.
Hayo yamesemwa nakamishina mkufunzi mkuu wa taifa bi Margareth Olumbe wakati akisoma risala ya maskauti wa kike hapa Arusha na kusema kuwa girl guide hapa nchini ilanzishwa mnamo mwaka 1928 na girl guide 9 na walijiita 1st Kilimanjaro na walikuwa na uhusiano na mke wa gavana wa wakati huo ukaingia ukimya wa muda mrefu na guiding haikusikika hadi 1934 mke wa gavana Lady Mack alianzisha kampuni nyingine Dar es-salaam na ikaitwa 1st Dar –es-salaam kampuni na ilikuwa na wazungu tu baadae alianzisha first dar-es-salaam Brownes na ilkuwa mchanganyiko.
Kuna changamoto nyIngi kubwa zinazowakabili girl guide hapa mkoani na taifa kwa ujumla zikiwemo kuwatoa watoto katika tabia hatarishi kuwa raia wema,wazazi ambao wangesaidiana nasi wamekuwa na shughuli nyingi na wengine hawafikiki hata na watoto wao,mwitiko wa wananchi
Akatoa ombi kwa mgeni rasmi ambaye alimwakilisha mlezi wa skauti wa kike hapa nchini mama Salma Kikwete bi Pendo Laizer kutoka(CASEC) kuwa awe mlezi wa girl guide wa arusha na mgeni huyo kukubali kuwa mlezi na kuwatafutia wafadhli wakukisaidia girl guide mgeni huyo aliambatana na mgeni kutoka nchini uingereza bi jill Nicholson na Yona .M.Mziba kutoka kitengo cha polisi jamii mkoani hapa

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.