Skip to main content

WANACHAMA WAILILIA TIMU YA AFC ARUSHA KUSHUKA DARAJA


Na.Ashura mohamed ,Arusha
Wanachama na wananchi wa mkoa wa Arusha wamepokea kwa masikitiko makubwa kitendo cha timu yao kushuka daraja kutokana na malumbano ya viongozi yaliyopo.
Wanachama hao ambao wameomba hifadhi ya majina yao walitoa malalamiko yao wakiwa na uchungu mkubwa kwani kutokana na kushuka daraja kwa timu yao.
Walisema kuwa wanaitupia lawama kubwa chama cha mpira wa miguu wilaya ya Arusha kwani ndicho kilichofanya hadi timu yao ikashuka.
"uanajua tunalalamika kwanini tuliwaambia hawa viongozi wa wilaya watupe timu yetu kama ikifa ifie mikoni mwetu wakagoma sasa wanaona walichokuwa wanakita ka wamesababisha hadi timu yetu ikiashuka daraja "alisema mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Hassani.
Nipashe lilizungumza na baadhi ya wapenzi wa soka wa mkoa wa Arusha nao walisema kuwa wamesikitishwa sana na kitendo cha timu hii kushuka daraja kwani kwani walikuwa wanaitegemea kama ndio timu ya wananchi.
"kwakweli tunasikitishwa sana kwa kitendo cha timu hiikushuka daraja kwani ndiho timu tulikuwa tunaitegemea katika soka la mkoa wa Arusha sasa watu wacheche wamesababisha hata timu yetu ikashuka tunalaani sana.
Nipashe haikuishia hapo bali lilizungumza na mmoja wa waandishi wa habari Mahmoud Ahmad alisema kuwa amesikitishwa sana kuona timu ambayo ilikuwa ndio kioo cha michezo katika mkoa wa Arusha ikiachwa yatima hadi kufikia kushuka daraja.
alitoa ushauri kwa viongozi wa mkoa kuandaa timu mapema na kutafuta wafadhili kwani wameona mechi tatu za timu ya Jkt Oljoro zikipotea kitu ambacho sio jambo zuri na inaashirika kuporomoka kwa soka mkoani Arusha.
"viongozi wasipoangalia kwa umakini tutabaki kuwa wasindikizaji katika soka hapa nchini kitu ambacho ni aibu kubwa sana kwani awali katika mpira wa mkoa huu kulikuwa na soka la zuri ambalolilimsisi mua kila mmoja lakini kwa sasa limeondoka hamna soka kabisa tunaelekea kuwa watazamaji wa timu zingine tu " alisema Mahamoud
Aidha alitoa wito kwa viongozi ambao lawama kubwa zimetupiwa kwao kuwa wajirekebishwe na watafute kazi zakufanya na sio kutegemea mpira jambo ambalo linawafanya wakae kupigiana fitina katika soka na sio kusaidia soka la mkoa wa Arusha
Kwa upande wake katibu wa soka wa wilaya ya Arusha Zakayo Mjema alisema kuwa yeye amepokea kwa masikitiko makubwa swala hili kwani wao kama chama cha mpira walishirikiana kwa kila njia kuinusuru timu hii lakini walishedwa.
Alisema kuwa walitafuta ushirikiano kutoka kwa wanachama wa AFC lakini hawakupata lakini kwa sasa timu hii imeshuka daraja wanatupiwa lawama kitu ambacho sio cha haki .
Timu hii ya AFC imekuwa ni timu ya kung'ang'aniwa na watu ambao wengi wao wamekuwa wakiifanya timu hii shamba la bii hali iliyofanya kuifikisha timu hii hapa ilipo na katika timu hii wachezaji wenyewe wamefanya kazi ya ziada na kujituma vilivyo kwani kutokana na malumbano ya viongozi hao na wanachama yalipelekea hata wacheza kwenda kucheza mechi bila kula na wengine kuishi hata bila ya kupewa posho za kujikimu.Source full shangwe.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...