Skip to main content

WANACHAMA WAILILIA TIMU YA AFC ARUSHA KUSHUKA DARAJA


Na.Ashura mohamed ,Arusha
Wanachama na wananchi wa mkoa wa Arusha wamepokea kwa masikitiko makubwa kitendo cha timu yao kushuka daraja kutokana na malumbano ya viongozi yaliyopo.
Wanachama hao ambao wameomba hifadhi ya majina yao walitoa malalamiko yao wakiwa na uchungu mkubwa kwani kutokana na kushuka daraja kwa timu yao.
Walisema kuwa wanaitupia lawama kubwa chama cha mpira wa miguu wilaya ya Arusha kwani ndicho kilichofanya hadi timu yao ikashuka.
"uanajua tunalalamika kwanini tuliwaambia hawa viongozi wa wilaya watupe timu yetu kama ikifa ifie mikoni mwetu wakagoma sasa wanaona walichokuwa wanakita ka wamesababisha hadi timu yetu ikiashuka daraja "alisema mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Hassani.
Nipashe lilizungumza na baadhi ya wapenzi wa soka wa mkoa wa Arusha nao walisema kuwa wamesikitishwa sana na kitendo cha timu hii kushuka daraja kwani kwani walikuwa wanaitegemea kama ndio timu ya wananchi.
"kwakweli tunasikitishwa sana kwa kitendo cha timu hiikushuka daraja kwani ndiho timu tulikuwa tunaitegemea katika soka la mkoa wa Arusha sasa watu wacheche wamesababisha hata timu yetu ikashuka tunalaani sana.
Nipashe haikuishia hapo bali lilizungumza na mmoja wa waandishi wa habari Mahmoud Ahmad alisema kuwa amesikitishwa sana kuona timu ambayo ilikuwa ndio kioo cha michezo katika mkoa wa Arusha ikiachwa yatima hadi kufikia kushuka daraja.
alitoa ushauri kwa viongozi wa mkoa kuandaa timu mapema na kutafuta wafadhili kwani wameona mechi tatu za timu ya Jkt Oljoro zikipotea kitu ambacho sio jambo zuri na inaashirika kuporomoka kwa soka mkoani Arusha.
"viongozi wasipoangalia kwa umakini tutabaki kuwa wasindikizaji katika soka hapa nchini kitu ambacho ni aibu kubwa sana kwani awali katika mpira wa mkoa huu kulikuwa na soka la zuri ambalolilimsisi mua kila mmoja lakini kwa sasa limeondoka hamna soka kabisa tunaelekea kuwa watazamaji wa timu zingine tu " alisema Mahamoud
Aidha alitoa wito kwa viongozi ambao lawama kubwa zimetupiwa kwao kuwa wajirekebishwe na watafute kazi zakufanya na sio kutegemea mpira jambo ambalo linawafanya wakae kupigiana fitina katika soka na sio kusaidia soka la mkoa wa Arusha
Kwa upande wake katibu wa soka wa wilaya ya Arusha Zakayo Mjema alisema kuwa yeye amepokea kwa masikitiko makubwa swala hili kwani wao kama chama cha mpira walishirikiana kwa kila njia kuinusuru timu hii lakini walishedwa.
Alisema kuwa walitafuta ushirikiano kutoka kwa wanachama wa AFC lakini hawakupata lakini kwa sasa timu hii imeshuka daraja wanatupiwa lawama kitu ambacho sio cha haki .
Timu hii ya AFC imekuwa ni timu ya kung'ang'aniwa na watu ambao wengi wao wamekuwa wakiifanya timu hii shamba la bii hali iliyofanya kuifikisha timu hii hapa ilipo na katika timu hii wachezaji wenyewe wamefanya kazi ya ziada na kujituma vilivyo kwani kutokana na malumbano ya viongozi hao na wanachama yalipelekea hata wacheza kwenda kucheza mechi bila kula na wengine kuishi hata bila ya kupewa posho za kujikimu.Source full shangwe.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.