Skip to main content

Uteuzi Zanzibar



Na Kijakazi Abdalla-Maelezo Zanzibar 15/02/2012

,Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu amemteuwa Abdul-hakim Ameir Issa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumushi ya Mahkama Zanzibar

Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa habari Mrajisi wa Mahakama Yessaya Kayange amesema kuwa kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa na Sheria ya Utumishi wa umma namba 2 ya mwaka 2011 kifungu namba 34(2) ambapo kifungu hicho kimemtaka Jaji wa mahakama kuteuwa mwenyekiti ambaye anatakiwa kuwa na sifa za Jaji wa Mahakama kuu

Aidha Jaji Mkuu ameteuwa wajumbe watano wa Tume hiyo , akiwemo Kadhi mkuu wa Zanzibar Skh Khamis Haji Khamis , Safia Masuod Khamis Mwanasheria wa Serikali anayemwakilisha Mwanasheria Mkuu, Salum Taufig Ali Wakili wa kujitegemea anayewakilisha Chama cha Wanasheria Zanzibar , Othman Bakari Othman Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Serikalini pamoja na Hamidu A.S.Mbwezeleni ambaye ni Wakili wa kujitegemea pamoja na Yessaya Kayange ambaye anakuwa Katibu wa Tume hiyo.

Pamoja na hayo Mrajisi wa mahakama alisema kuwa kazi kubwa ya Tume hiyo ya Utumishi ni kuajiri watu kushika nafasi za utumishi ikiwemo kuthibitisha ajira zao za utuimishi

Akielezea kazi za Tume hiyo Mrajis alisema kuwa ni pamoja na kushughulikia na kupendekeza Serikalini mishahara na marupurupu ya watumishi wao pamoja na kuidhinisha nyongeza ya utumishi mpaka miaka miwili.

Kazi nyengine ya Tume hiyo ni kuthibitisha upandaji vyeo kwa wajiri pamoja na kushughulikia suala lolote lililopelekwa kwake na Waziri, Katibu Mkuu Kiongozi au Mkuu wa Taasisi kwa maamuzi au maelekezo.

Mnamo tarehe 31.1.2012 Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makugu alizundua rasmi Tume ya Utumushi ya Mahakama ili kuanza kufanya kazi zake ambapo leo amewateua rasmi wajumbe wa Tume hiyo.

IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...