Mara Baada ya magazeti
mengi ya udaku jana nchini kuandika kwamba lile kundi la vichekesho
nchini Original Komedi,ambalo linaonyesha vichekesho vyako kwenye
runinga ya Taifa Tbc 1,kwamba limesambaratika ni uzushi mtupu...Kwa
mujibu wa kiongozi na muasisi wa kundi hilo Sekion David amesema “Hayo
ni maneno ya uzushi ya watu, mambo yetu sisi huwa hatupendi
kuyazungumza hadharani, watu wako likizo baada ya muda watarudi hewani,
ukienda kwenye website yetu huwa tunaandika kila kinachoendelea, hizo
taarifa hazina ukweli wowote”Hata hivyo kwenye website yao, kuna
tangazo linasema Orijino Komedi na timu nzima itakua likizo kwa mwezi
january 2012 tu, baada ya hapo watarudi kazini.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments