Skip to main content

TATHIMIN YA MBIO ZA MWENGE- MOROGORO


Wanajeshi wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. ( Kushoto ) ni Luten Tanu Oscar Mlowezi 521 KJ , na wa (kwanza kulia ) ni Luten Mary Shayo 501 KJ waliofikisha Mwenge wa Uhuru kwenye Kilele cha Mlima Kilimanjaro wakitoa Ushuhuda wao kwenye Mkutano wa Tathimin ya Mbio za mwenge Mkoani Morogoro leo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Msham Abdulla Khamis aliesimama katikati akifunga mkutano wa Tathimin ya mbio za Mwenge wa Uhuru na wiki ya Vijana katika Ukumbi wa Edema Mkoano Morogoro jana .
Baadhi ya viongozi waandamizi wa Kitaifa na waandaaji wa sherehe za Mwenge wakiwa kwenye tathimin ya mbio za Mwenge na wiki ya vijana wakati wa mkutano wao uliofanyika kwenye Ukumbi wa Edema Mkoani Morogoro leo wakiwa kwenye majadiliani ya kina .
Kamisaa wa Tume ya Sensa ya Taifa Mhe. Paul Kimiti akiongea na Viongozi na Waandaji wa Mbio za Mwenge Kitaifa kwenye mkutano wao wa kutathimin mbio za Mwenge uliofanyika kwenye Ukumbi wa Edema Mkoani Morogoro leo.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Msham Abdulla Khamis wa pili kulia , akiwatambulisha Wanajeshi wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ndugu Tanu Mlowezi kushoto na Mary Shayo Kulia waliofikisha Mwenge wa Uhuru kwenye Mlima Kilimanjaro, Wengine ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ,Vijana ,Utamaduni na Michezo mama Sihaba Nkinga wa tatu kulia wengine ni Kaimu Mkurugenzi wa Vijana ndugu James Kajugusi wa nne kulia na wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Vijana Dkt. Steven Kissui kwenye mkutano wa Tathimin ya mbio za Mwenge uliofanyika kwenye Ukumbi wa Edema Mkoani Morogoro leo.Source full shangwe.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.