Skip to main content

MSEMO WA NCHI CHANGA NI KWAMBA ``NIPE NIKUPE``


Katika mkutano wa mawaziri wa Fedha wa mataifa tajiri kabisa, G-20, unaofanywa mjini Mexico City, Waziri wa Fedha wa Brazil, Guido
Mantega, alisema nchi chipukizi zitatoa fedha zaidi kusaidia kupunguza deni la mataifa ya Ulaya.
Lakini nao badala yake, wanataka kupewa madaraka zaidi katika Shirika la Fedha Duniani, yaani IMF.
Waziri wa Fedha wa Brazil ameingia mkutanoni na ujumbe wazi : kwamba nchi chipukizi ziko tayari kuzisaidia nchi za Ulaya zinazotumia sarafu ya Euro, na ambazo zimekabwa na madeni, lakini msaada wenyewe utakuwa wa shuruti.
Guido Mantega alisema nchi kama Mexico, India na Brazil zitasaidia, lakini kuna shuruti mbili.
Kwanza Ulaya yenyewe izidishe akiba katika kasha au sanduku la fedha ili kujisaidia panapo dharura.
Kuna hisia katika G-20 kuwa siyo lazima kwa nchi nyengine kulisaidia eneo la Euro, hadi Ulaya yenyewe inaweka akiba zaidi kujisaidia.
Shuruti ya pili alisema Bwana Mantega ni kwamba mabadiliko yaliyoahidiwa, kuwa mataifa chipukizi nayo yatawakilishwa zaidi kwenye bodi ya uongozi wa IMF, yatekelezwe.
Ahadi hiyo ilitolewa wakati Brazil, Urusi, India na Uchina zilipozidisha mchango wao katika mfuko wa akiba ya dharura wa IMF, mwaka wa 2008.
Hadi sasa marekibisho hayo hakufwatliwa, na hasa nchi za Ulaya, zinang'ang'ania viti vyao katika bodi ya uongozi ya IMF.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.