Skip to main content

Zanzibar yafanya mafunzo ya udhibiti usambazaji mafuta baharini


 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji mafuta wakati yanapomwagika Baharini wakisikiliza maelezo kutoka kwa kiongozi kutoka ZMA kabla ya kuanza kwa zoezi la vitendo la kudhibiti mafuta katika bandari ya Malindi mjini Unguja.Mafunzo hayo yanaendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Washiriki wa Mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta wakati yanapomwagika baharini wakiunganisha maturubali maalum ya kudhibiti mafuta katika Bahari kwenye mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Washiriki wa Mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta wakati yanapomwagika baharini wakikunjuwa  maturubali maalumu kwa ajili ya  kudhibiti mafuta yaliomwagika baharini  katika  mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Maturubali maalum ya kudhibiti usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini yakiwatayari yamesha tandazwa kwa ajili ya kudhibiti mafuta katika  mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Hassan akifanya mahojiano na Msaidizi mtaalamu Mkuu kutoka Taasisi ya Norwagian Costal Adminastration (NCM).Odd Gonnar Jorgensen kuhusiana na zoezi zima la uendeshaji wa mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta baharini katika mafunzo ya vitendo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Kifaa maalum cha kuchuja mafuta Baharini kikiingizwa baada ya mafuta yaliomwagika kudhibitiwa  katika mafunzo ya vitendo yakudhibiti Usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini  yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Injinia Mratibu wa Maswala ya mazingira Baharini kutoka ZMC Halfani Hamad Hassan kulia akizungumza na Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mafunzo ya Vitendo ya kudhibiti Usambaaji wa Mafuta baharini mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Msaidizi mtaalamu Mkuu kutoka Taasisi ya Norwagian Costal Adminastration (NCM).Odd Gonnar Jorgensen wapili kulia akisisitiza jambo katika  zoezi  la utandazaji wa maturubali maalum ya kudhibiti mafuta yaliomwagika baharini uendeshaji mafunzo yaliofanyika katika bandari ya Malindi mjini Unguja.
Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Hassan akifanya mahojiano na mmoja kati ya Washiriki wa mafunzo ya Udhibiti Usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini Abdillahi Chilinga kutoka kampuni ya GAPCO Zanzibar kuhusiana na namna alivyoyapokea mafunzo hayo yaliofanyika katika bandari ya Malindi mjini Unguja.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...