Skip to main content

Zanzibar yafanya mafunzo ya udhibiti usambazaji mafuta baharini


 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji mafuta wakati yanapomwagika Baharini wakisikiliza maelezo kutoka kwa kiongozi kutoka ZMA kabla ya kuanza kwa zoezi la vitendo la kudhibiti mafuta katika bandari ya Malindi mjini Unguja.Mafunzo hayo yanaendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Washiriki wa Mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta wakati yanapomwagika baharini wakiunganisha maturubali maalum ya kudhibiti mafuta katika Bahari kwenye mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Washiriki wa Mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta wakati yanapomwagika baharini wakikunjuwa  maturubali maalumu kwa ajili ya  kudhibiti mafuta yaliomwagika baharini  katika  mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Maturubali maalum ya kudhibiti usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini yakiwatayari yamesha tandazwa kwa ajili ya kudhibiti mafuta katika  mazoezi ya vitendo yaliofanyika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja .Mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Hassan akifanya mahojiano na Msaidizi mtaalamu Mkuu kutoka Taasisi ya Norwagian Costal Adminastration (NCM).Odd Gonnar Jorgensen kuhusiana na zoezi zima la uendeshaji wa mafunzo ya Udhibiti wa Usambaaji wa Mfuta baharini katika mafunzo ya vitendo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Kifaa maalum cha kuchuja mafuta Baharini kikiingizwa baada ya mafuta yaliomwagika kudhibitiwa  katika mafunzo ya vitendo yakudhibiti Usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini  yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Injinia Mratibu wa Maswala ya mazingira Baharini kutoka ZMC Halfani Hamad Hassan kulia akizungumza na Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mafunzo ya Vitendo ya kudhibiti Usambaaji wa Mafuta baharini mafunzo yanayoendeshwa na Kampuni kutoka Norwey inayojishughulisha na Udhibiti wa mazingira Baharini Norwagian Costal Adminastration (NCM).
 Msaidizi mtaalamu Mkuu kutoka Taasisi ya Norwagian Costal Adminastration (NCM).Odd Gonnar Jorgensen wapili kulia akisisitiza jambo katika  zoezi  la utandazaji wa maturubali maalum ya kudhibiti mafuta yaliomwagika baharini uendeshaji mafunzo yaliofanyika katika bandari ya Malindi mjini Unguja.
Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Hassan akifanya mahojiano na mmoja kati ya Washiriki wa mafunzo ya Udhibiti Usambaaji wa mafuta yaliomwagika baharini Abdillahi Chilinga kutoka kampuni ya GAPCO Zanzibar kuhusiana na namna alivyoyapokea mafunzo hayo yaliofanyika katika bandari ya Malindi mjini Unguja.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.