Skip to main content

Askari wa Korea Kaskazini apigwa risasi akijaribu kutoroka



media
Eneo la linalotenganisha Korea Kaskazini na Korea Kusini (DMZ) , (hapa ni upande wa Korea Kusini).
Askari wa Korea Kaskazini amepigwa risasi akijaribu kutorokea Korea Kusini. Tukio hilo limetokea Jumatatu hii mchana katika eneo linalotenganisha Korea hizo mbili. Askari huyo alijeruhiwa na risasi zilizofyatuliwa kutoka upande wa Korea Kaskazini.
Jeshi la Korea Kusini limeongeza kiwango cha chake cha tahadhari, kwa kutarajia uwezekano wa uchokozi wa Korea Kaskazini.
Jaribio hili la kutoroka limewashangaza wengi wakati ambapo eneo hilo la mpakani la Panmunjeom ni lenye ulinzi mkubwa. eneo hili ndilo linalotenganisha Korea mbili, ambapo askari wa Korea Kusini na wale wa Korea Kaskazini wanakaribina uso kwa uso wakiwa na silaha zao mikononi.
Kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini, askari huyo mtoro aliondoka eneo lake alipokua akitoa ulinzi mapem amchana na taarifa ya kupotea kwake ilitolewa na wenzake na hapo ndipo walianza kumfyatulia risase akijaribu kukimbilia Korea Kusini. Alijeruhiwa pegani na mkononi. Aliokotwa mita 50 kutoka mpakani na askari wa Korea Kusini na alisafirishwa kwa helikopta hadi hospitalini.
Pamoja na mvutano kati ya nchi hizi mbili, eneo linalotenganisha Korea mbili limekua likitembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigen, wakivutiwa na eneo ambalo linachukuliwa kama moja ya ya maeneo maarufu ya vita vya baridi.
Chanzo:RFI

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.