Skip to main content

Askari wa Korea Kaskazini apigwa risasi akijaribu kutoroka



media
Eneo la linalotenganisha Korea Kaskazini na Korea Kusini (DMZ) , (hapa ni upande wa Korea Kusini).
Askari wa Korea Kaskazini amepigwa risasi akijaribu kutorokea Korea Kusini. Tukio hilo limetokea Jumatatu hii mchana katika eneo linalotenganisha Korea hizo mbili. Askari huyo alijeruhiwa na risasi zilizofyatuliwa kutoka upande wa Korea Kaskazini.
Jeshi la Korea Kusini limeongeza kiwango cha chake cha tahadhari, kwa kutarajia uwezekano wa uchokozi wa Korea Kaskazini.
Jaribio hili la kutoroka limewashangaza wengi wakati ambapo eneo hilo la mpakani la Panmunjeom ni lenye ulinzi mkubwa. eneo hili ndilo linalotenganisha Korea mbili, ambapo askari wa Korea Kusini na wale wa Korea Kaskazini wanakaribina uso kwa uso wakiwa na silaha zao mikononi.
Kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini, askari huyo mtoro aliondoka eneo lake alipokua akitoa ulinzi mapem amchana na taarifa ya kupotea kwake ilitolewa na wenzake na hapo ndipo walianza kumfyatulia risase akijaribu kukimbilia Korea Kusini. Alijeruhiwa pegani na mkononi. Aliokotwa mita 50 kutoka mpakani na askari wa Korea Kusini na alisafirishwa kwa helikopta hadi hospitalini.
Pamoja na mvutano kati ya nchi hizi mbili, eneo linalotenganisha Korea mbili limekua likitembelewa na watalii wengi kutoka nchi za kigen, wakivutiwa na eneo ambalo linachukuliwa kama moja ya ya maeneo maarufu ya vita vya baridi.
Chanzo:RFI

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...