Skip to main content

RTO ARUSHA:TUTAFANYA MSAKO WA KUWAKAMATA MADEREVA WASIOKUWA NA LESENI ZA UDEREVA


baadhi ya magari Arusha|(picha na mtandao)
Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Arusha limewataka waendesha vyombo vya moto kuhakikisha wanafata sheria na taratibu za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kuepuka kuendesha gari pasipokuwa na leseni ama vyeti vya udereva.

Hayo yamesemwa leo na Mrakibu wa polisi na mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha RTO,Joseph Charles Bukombe wakati akizungumza na Mussatz Blog ambapo amesema wamejipanga kufanya msako wa kuwakamata madereva ambao wamekuwa wakikiuka sheria na taratibu za usalama barabarani.

RTO Bukombe amesema ni vyema madereva wanaoendesha vyombo vya moto hususani wanaowapakia abiria kuhakikisha wanavyeti vinavyowaruhusu kuwapakia abiria kwani hatima ya watu wanaowabeba ipo mikononi mwao.

Amesema wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo baadhi ya madereva kutofuata alama za barabarani lakini pia kuvunja sheria za usalama barabarani kwa makusudi pasipokuchukua tahadhari kwa watembea kwa miguu.

Halikadhalika RTO Bukombe amewataka wamiliki wa magari pale wanapotaka kuwaajiri madereva wajiridhishe kama wanavyeti na leseni husika ya kuendesha magari yao.

Hata hivyo amesema watawachukulia hatua kali za kisheria madereva wote  ambao hawatii sheria bila shuruti za usalama barabarani ili kuendana na kaulimbiu ya mwaka huu ya usalama barabarani isemayo endesha salama okoa maisha tii sheria.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...