Skip to main content
Viongozi wa (CUF) chini ya Katibu Mkuu na Lipumba wameanza 
kutupiana lawama na kushikana uchawi, Naibu Mkurugenzi wa Habari na
 Uenezi wa CUF Mbarala Maharagande amefunguka na kusema Maalim 
Seif analindwa na haki na si ushirikina.


Mbarala Maharagande amedai kuwa Lipumba na kundi lake ni 
watu ambao wanaamini sana ushirikina na kutegemea ushirikina
 kufanikisha mpango wao kuivuruga na kuisambaratisha Taasisi ya CUF.

"Lipumba na wafuasi wake ni watu wanaoamini sana mambo ya 
ushirikina katika kufanikiwa mipango yao michafu dhidi ya Taasisi 
ya CUF. 

Mara kadhaa wameonekana kutumwa wafuasi wake kwenda
 kununua Mbuzi kwa ajili ya kazi hiyo katika mnada wa 
Vingunguti. Kamati ya ushirikina inaongozwa na Abdul 
Kambaya na Hamisi Hassan kwa upande wa Tanzania 
Bara na Mohamed Thiney na Nassor Seif kwa upande 
wa Zanzibar" aliandika Naibu Mkurugenzi wa Habari na
 Uenezi wa CUF Mbarala Maharagande

Mbali na hilo Mbarala amesema kuwa Profesa Lipumba na 
kundi lake wameshindwa kuigawa CUF kama ambavyo walikuwa 
wakitegemea na kudai uchaguzi mdogo wa udiwani umeweza kutoa
 majibu kwani wagombea wote wa Lipumba wamepata kura 
chache sana na kuonekana wazi kuwa watu hao hawakubaliki
 katika jamii.

"Lipumba na wafuasi wake wameshindwa kuigawa CUF na 
mbeleko ya CCM inakaribia kukatika kutokana na kutoona faida 
yao hasa katika ushindani wakati wa uchaguzi. Watazania 
washawafahamu kuwa ni vibaraka, wasaliti na wachumia 
tumbo, hawapo kwa dhati ya kutaka Mabadiliko ya kweli 
kisiasa kutokea hapa nchini. 

Mgombea wa Lipumba katika Kata ya Reli, Mtwara Mikindani kushika 
nafasi ya nne kwa kupata kura 21 baada ya CCM, CHADEMA, na
 ACT katika Jimbo linaloongozwa na Mbunge kutoka ‘CUF MAKINIKIA’ 
ni salamu tosha kwa Maftaha Nachuma na Lipumba kuwa 
hawakubaliki na hawana mchango wa maana kwa CCM" 
alisisitiza Mbarala

Pia Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF Mbarala 
Maharagande amekanusha taarifa inayosema kuwa Maalim
 Seif anashirikiana na waganga wa kienyeji na kuwa mambo
 yamezidi kuwa magumu kwake.

"Eti Maalim Seif anashirikiana na Waganga na mambo 
yanazidi kuwa magumu kwake! Mambo yepi magumu 
na Spika anatakiwa atangaze rasmi lini Wabunge halali wa
 CUF waanze utumishi wao Bungeni kutokana na maamuzi 
ya Mahakama. Msemaji wa Lipumba, David Maphone
 kahamia kuwapigia kampeni wagombea wa UVCCM sasa"

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.