Skip to main content
Viongozi wa (CUF) chini ya Katibu Mkuu na Lipumba wameanza 
kutupiana lawama na kushikana uchawi, Naibu Mkurugenzi wa Habari na
 Uenezi wa CUF Mbarala Maharagande amefunguka na kusema Maalim 
Seif analindwa na haki na si ushirikina.


Mbarala Maharagande amedai kuwa Lipumba na kundi lake ni 
watu ambao wanaamini sana ushirikina na kutegemea ushirikina
 kufanikisha mpango wao kuivuruga na kuisambaratisha Taasisi ya CUF.

"Lipumba na wafuasi wake ni watu wanaoamini sana mambo ya 
ushirikina katika kufanikiwa mipango yao michafu dhidi ya Taasisi 
ya CUF. 

Mara kadhaa wameonekana kutumwa wafuasi wake kwenda
 kununua Mbuzi kwa ajili ya kazi hiyo katika mnada wa 
Vingunguti. Kamati ya ushirikina inaongozwa na Abdul 
Kambaya na Hamisi Hassan kwa upande wa Tanzania 
Bara na Mohamed Thiney na Nassor Seif kwa upande 
wa Zanzibar" aliandika Naibu Mkurugenzi wa Habari na
 Uenezi wa CUF Mbarala Maharagande

Mbali na hilo Mbarala amesema kuwa Profesa Lipumba na 
kundi lake wameshindwa kuigawa CUF kama ambavyo walikuwa 
wakitegemea na kudai uchaguzi mdogo wa udiwani umeweza kutoa
 majibu kwani wagombea wote wa Lipumba wamepata kura 
chache sana na kuonekana wazi kuwa watu hao hawakubaliki
 katika jamii.

"Lipumba na wafuasi wake wameshindwa kuigawa CUF na 
mbeleko ya CCM inakaribia kukatika kutokana na kutoona faida 
yao hasa katika ushindani wakati wa uchaguzi. Watazania 
washawafahamu kuwa ni vibaraka, wasaliti na wachumia 
tumbo, hawapo kwa dhati ya kutaka Mabadiliko ya kweli 
kisiasa kutokea hapa nchini. 

Mgombea wa Lipumba katika Kata ya Reli, Mtwara Mikindani kushika 
nafasi ya nne kwa kupata kura 21 baada ya CCM, CHADEMA, na
 ACT katika Jimbo linaloongozwa na Mbunge kutoka ‘CUF MAKINIKIA’ 
ni salamu tosha kwa Maftaha Nachuma na Lipumba kuwa 
hawakubaliki na hawana mchango wa maana kwa CCM" 
alisisitiza Mbarala

Pia Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF Mbarala 
Maharagande amekanusha taarifa inayosema kuwa Maalim
 Seif anashirikiana na waganga wa kienyeji na kuwa mambo
 yamezidi kuwa magumu kwake.

"Eti Maalim Seif anashirikiana na Waganga na mambo 
yanazidi kuwa magumu kwake! Mambo yepi magumu 
na Spika anatakiwa atangaze rasmi lini Wabunge halali wa
 CUF waanze utumishi wao Bungeni kutokana na maamuzi 
ya Mahakama. Msemaji wa Lipumba, David Maphone
 kahamia kuwapigia kampeni wagombea wa UVCCM sasa"

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...