Skip to main content

WAUMINI ZAIDI MIL.30 WA DHEHEBU LA SHIA WAWASILI KARBAL NCHINI IRAAQ


Shekhe mkuu wa dhehebu la shia ithna sheria Ahmed Jalala akizungumza na wanahabari(picha na Ashura Dunda)
Na Ashura Dunda Dar es salaam
Zaidi ya waumini  milioni thelasini  wa  dhehebu la shia ithna sheria  kutoka mataifa mbalimbali wamewasili karbal nchini Iraaq katika kumbukumbu ya arubaini ya Imam Hussein kwa lengo la kumbukumbuka ya kifo cha imam huyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Shekhe mkuu wa dhehebu la shia ithna sheria Ahmed Jalala amesema tukio hilo la arubaini ya Imamu Hussein  ambaye ni mjukuu wa Mtume Muhammad (S.A.W)  ni tukio la kawaida kwa waumini wa dini ya kiislam.

Aidha Jalala amebainisha mafunzo yatokanayo na tukio hilo ni pamoja na kuuenzi utukufu na heshma ya mwanadamu Duniani pamoja na kujenga umoja, upendo, amani na mshikamano Nchini.

Aidha amewataka waumini wa dini ya kiislam na wasiokuwa waislam kuhakikisha wanapokea mafunzo wanayoyapata katika  kujikita  kusimamia amani na upendo.

Katika tukio la Arbaini ya Imamu Hussein mwaka huu kauli mbiu yake ni Tusimame Kutetea haki za binaadam na kupinga ugaidi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...