Skip to main content

WAUMINI ZAIDI MIL.30 WA DHEHEBU LA SHIA WAWASILI KARBAL NCHINI IRAAQ


Shekhe mkuu wa dhehebu la shia ithna sheria Ahmed Jalala akizungumza na wanahabari(picha na Ashura Dunda)
Na Ashura Dunda Dar es salaam
Zaidi ya waumini  milioni thelasini  wa  dhehebu la shia ithna sheria  kutoka mataifa mbalimbali wamewasili karbal nchini Iraaq katika kumbukumbu ya arubaini ya Imam Hussein kwa lengo la kumbukumbuka ya kifo cha imam huyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Shekhe mkuu wa dhehebu la shia ithna sheria Ahmed Jalala amesema tukio hilo la arubaini ya Imamu Hussein  ambaye ni mjukuu wa Mtume Muhammad (S.A.W)  ni tukio la kawaida kwa waumini wa dini ya kiislam.

Aidha Jalala amebainisha mafunzo yatokanayo na tukio hilo ni pamoja na kuuenzi utukufu na heshma ya mwanadamu Duniani pamoja na kujenga umoja, upendo, amani na mshikamano Nchini.

Aidha amewataka waumini wa dini ya kiislam na wasiokuwa waislam kuhakikisha wanapokea mafunzo wanayoyapata katika  kujikita  kusimamia amani na upendo.

Katika tukio la Arbaini ya Imamu Hussein mwaka huu kauli mbiu yake ni Tusimame Kutetea haki za binaadam na kupinga ugaidi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.