Skip to main content

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano amewataka wakandarasi kufanya kazi kwa uadilifu



 Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga akizungumza kwenye mkutano wa siku ya makandarasi uliofanyika Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga kwenye picha ya pamoja na makandarasi walihudhuria kwenye mkutano huo
makandarasi mbalimbali walihudhuria kwenye mkutano wa siku ya makandarasi(picha zote na blog hii)
Na Mussa.N.Khalid
Wakandarasi kutoka maeneo mbalimbali nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu ikiwa ni pamoja na kuepuka kupokea rushwa ili kutekeleza kwa wakati miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga ameyasema hayo leo alipokuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa siku ya makandarasi ambao umefanyika jijini Dar es salaam.

Mhandisi Nyamhanga amesema serikali imepanga kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo bomba la mafuta kutoka nchini Uganda kuja Tanzania hivyo amewataka kutumia fursa mbalimbali zilizopo ikiwemo kushiriki katika ufanyaji wa kazi za ukandarasi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa  Chama cha Makandarasi Tanzania CATA, Mhandisi Lawrence Esili Mwakyambiki amesema wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutokuwepo kwa miradi ya kutosha nchini lakini pia serikali kupenda kuwatumia makandarasi kutoka nje ya nchi.

Mkutano huo wa siku ya makandarasi umewajumuisha wakandarasi kutoka mikoa mbalimbali nchini ambao umeambatana na kauli mbiu imesayo wajibu wa makandarasi katika kuchangia uchumi wa viwanda.Chanzo kimoja kimeripoti.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.