Skip to main content

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano amewataka wakandarasi kufanya kazi kwa uadilifu



 Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga akizungumza kwenye mkutano wa siku ya makandarasi uliofanyika Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga kwenye picha ya pamoja na makandarasi walihudhuria kwenye mkutano huo
makandarasi mbalimbali walihudhuria kwenye mkutano wa siku ya makandarasi(picha zote na blog hii)
Na Mussa.N.Khalid
Wakandarasi kutoka maeneo mbalimbali nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu ikiwa ni pamoja na kuepuka kupokea rushwa ili kutekeleza kwa wakati miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga ameyasema hayo leo alipokuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa siku ya makandarasi ambao umefanyika jijini Dar es salaam.

Mhandisi Nyamhanga amesema serikali imepanga kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo bomba la mafuta kutoka nchini Uganda kuja Tanzania hivyo amewataka kutumia fursa mbalimbali zilizopo ikiwemo kushiriki katika ufanyaji wa kazi za ukandarasi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa  Chama cha Makandarasi Tanzania CATA, Mhandisi Lawrence Esili Mwakyambiki amesema wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutokuwepo kwa miradi ya kutosha nchini lakini pia serikali kupenda kuwatumia makandarasi kutoka nje ya nchi.

Mkutano huo wa siku ya makandarasi umewajumuisha wakandarasi kutoka mikoa mbalimbali nchini ambao umeambatana na kauli mbiu imesayo wajibu wa makandarasi katika kuchangia uchumi wa viwanda.Chanzo kimoja kimeripoti.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...