Skip to main content

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano amewataka wakandarasi kufanya kazi kwa uadilifu



 Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga akizungumza kwenye mkutano wa siku ya makandarasi uliofanyika Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga kwenye picha ya pamoja na makandarasi walihudhuria kwenye mkutano huo
makandarasi mbalimbali walihudhuria kwenye mkutano wa siku ya makandarasi(picha zote na blog hii)
Na Mussa.N.Khalid
Wakandarasi kutoka maeneo mbalimbali nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu ikiwa ni pamoja na kuepuka kupokea rushwa ili kutekeleza kwa wakati miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Katibu mkuu wa wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Joseph Nyamhanga ameyasema hayo leo alipokuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa siku ya makandarasi ambao umefanyika jijini Dar es salaam.

Mhandisi Nyamhanga amesema serikali imepanga kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo bomba la mafuta kutoka nchini Uganda kuja Tanzania hivyo amewataka kutumia fursa mbalimbali zilizopo ikiwemo kushiriki katika ufanyaji wa kazi za ukandarasi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa  Chama cha Makandarasi Tanzania CATA, Mhandisi Lawrence Esili Mwakyambiki amesema wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutokuwepo kwa miradi ya kutosha nchini lakini pia serikali kupenda kuwatumia makandarasi kutoka nje ya nchi.

Mkutano huo wa siku ya makandarasi umewajumuisha wakandarasi kutoka mikoa mbalimbali nchini ambao umeambatana na kauli mbiu imesayo wajibu wa makandarasi katika kuchangia uchumi wa viwanda.Chanzo kimoja kimeripoti.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...